yes amiri nondo nilimwona kawa meya! alikuwa na mshokaji wake madenge. nadhani nilisikia madenge amefariki. sijui kama ni kweli, dah!
yes hata mimi nlisikia madenge alifariki. hope utakua unajua co urio alifariki siku nyingi. nasikia hata akina nyundo na kibuyu walikwisha tangulia mbele ya haki. lkn sina hakika kwa hao wawili. hivi itakuaje kama kambi zitawaalika wote waliopita ktk hizo kambi kuzitembelea na kukutana na makamanda wao ambao bado wako hai hata kama watakua wameishastaafu?