Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Migazini mmetulia sana madawili wetu nilikua nawatamania balaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani nyie service man nyie ila bonge la kambi linaamsha amsha zakuzidi sana kuogelea ziwa Tanganyika filimbi ikilia ole wako kuruti ubaki kwenye maji unaweza ukataga [emoji23][emoji23][emoji23]ila kingine kuwadekia vyoo duuh ukiskia sauti ya service unaamsha balaa unaenda kunya porini
[emoji23][emoji23]Daah Chokaa nilibanwa gogo nusu ya kufa kisha nikala stiki za Mjerumani..

Serengeti wanakula sana mkunyenge siku ya kuhitimu.

Hivi CO mlikuta Mketo au alibadilishwa.?

RSM mtata : Mundeba daah mixer MP wa main gate Akyoo na kiherehere na mzenji.

Migazi na kuiba mapapai kule bustani 821kj sio poa .
 
Alawansi shs 60. Nasimamisha mnazi.. Nenda mpa ofa ya supu ya kongoro demu wangu. Tunabambwa na Afande Mwaibale.. Kombati hadi kwenye meno.. Tunarudishwa usawa wa kombania tunakuta makuruta wako disco. Mimi na vidume wengine tunaanza kusulubiwa mbele ya wa totoz wetu.. Tunakula pushapu hadi kongoro yote inatoka.. Disco linaendelea totoz wetu wanaanza kulia kwa suluba tunayopata mbele yao..
 
Mpaka leo chenja zangu zipo kwenye email Nikiwa na vibe naskiliza
 
Migazini mmetulia sana madawili wetu nilikua nawatamania balaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani nyie service man nyie ila bonge la kambi linaamsha amsha zakuzidi sana kuogelea ziwa Tanganyika filimbi ikilia ole wako kuruti ubaki kwenye maji unaweza ukataga [emoji23][emoji23][emoji23]ila kingine kuwadekia vyoo duuh ukiskia sauti ya service unaamsha balaa unaenda kunya porini
[emoji23][emoji23] Harafu mkuu mimi sio wakujitolea , ni mujibu wa sheria tuliomaliza six 2015 japo kuna wakujitolea walitukuta tunakula kozi na kina Ngutanyi wakaliunga tulivyomaliza tukawaacha wakujitolea wanaendelea na bahati mbaya baadhi yao walipata ajali kwenye IVECO la Sabufa.
 
Nikiwa sina akili TIMAMU vizuri Fresh from Chuo nilitamani kweli kwenda JESHINI,nikafanya kila kitu ila mi TATOOO yangu ilinikosesha Fursa na mpaka leo sijajua ni kwanini TATOOO hairuhusiwi Jeshini wakati Majeshi ya wenzetu wanajeshi zao wana mi Tatooo kila mahali..

Hata hapa BONGO nina wenzangu walioendaga na leo hiii nmekutana nao wana TATOOO za kutosha miilini mwao nashindwa elewa hiii kitu imekaaje wakati wa USAILI.

Sema katika vitu namshukuru MUNGU ni kutofanikiwa kuingia JESHINI maana nina uhakika 100% ningetorokaga...

Wanajeshi Hongera na pongezi yenu,hata mlipwe milioni 100 kwa LISAA sitokaa nitamani Kuwa mjeda...NEVER
 
[emoji23][emoji23] Harafu mkuu mimi sio wakujitolea , ni mujibu wa sheria tuliomaliza six 2015 japo kuna wakujitolea walitukuta tunakula kozi na kina Ngutanyi wakaliunga tulivyomaliza tukawaacha wakujitolea wanaendelea na bahati mbaya baadhi yao walipata ajali kwenye IVECO la Sabufa.
Poleni kweli mkuu tuliikuta hio story ila sabufa simuamini kabisa sio wakumpa Gari kwanza uendeshaji wake uraiana angekua kafariki kumbe ni mujibu washeria mkuu wakambi alibadirishwa ila aliekuja mpigaji hatari tunasaign tumekula 3000 lakini ukipiga hesabu umekula ugali full tena namarage full mpaka siku yakumaliza [emoji23][emoji23][emoji23]jeshini kunauwizi sana yaani jamaa hatari sana
 
Ambari mzee wa kwata [emoji23][emoji23][emoji23] nakumbuka kutengeneza chokaa Na kumwagilia ziwani duuh kingine opp kikwete kunawengine bogi lilibaki walibaka sana mujibu washeria [emoji23][emoji23] yaani service man walikua wanaenda kula Serengeti wetu usiku wanavamia kama wasomali
Kanole ndo C.O siku hizi pale bulombora
 
Aliletwa Engineer mmoja toka Radio Tanzania. Alikuwa amejificha miaka kadhaa bila kwenda JKT.
Kufika tu akapewa t-shirt. Kwa kitambi chake iliishia kifuani tu.
Afande akamwambia, usijali ukijifungua hiyo mimba, t-shirt itakutosha. Kama ajizi, ilichukua week mbili t-shirt kumtosha vizuri tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah hii imeifanya siku yangu kuwa nzuri
 
Mmh ! Msosi ulikuaje??

Sisi tangu day one ni ugali nyama mchana kila siku mpaka tunamaliza, usiku ni wali maharage na chai asubuhi ni mkate wa mzabuni na chai.

Namaanisha hapa ni kila siku ratiba iko hivyo.


Siku ya kumaliza tulitandika vinywaji saba, nauli za kurudi na buku 10 ya kula njiani kama unaishi mkoa unaotumia masaa zaidi ya 6 njiani.

2015 hiyo lakini Mkwere alikua yupo mjengoni (kabla ya uchaguzi)
Poleni kweli mkuu tuliikuta hio story ila sabufa simuamini kabisa sio wakumpa Gari kwanza uendeshaji wake uraiana angekua kafariki kumbe ni mujibu washeria mkuu wakambi alibadirishwa ila aliekuja mpigaji hatari tunasaign tumekula 3000 lakini ukipiga hesabu umekula ugali full tena namarage full mpaka siku yakumaliza [emoji23][emoji23][emoji23]jeshini kunauwizi sana yaani jamaa hatari sana
 
Kwenye nauli namaanisha ya kwendea Kigoma waliturudishia ila kurudi majumbani tulipandishwa mabasi yalitufuata palepale kikosini.
Poleni kweli mkuu tuliikuta hio story ila sabufa simuamini kabisa sio wakumpa Gari kwanza uendeshaji wake uraiana angekua kafariki kumbe ni mujibu washeria mkuu wakambi alibadirishwa ila aliekuja mpigaji hatari tunasaign tumekula 3000 lakini ukipiga hesabu umekula ugali full tena namarage full mpaka siku yakumaliza [emoji23][emoji23][emoji23]jeshini kunauwizi sana yaani jamaa hatari sana
 
Mzee, mwaka 1977, hongera!
Operesheni Tujisahihishe, 1977, Ruvu JKT, Eagle Coy platoon 3 ya Afande Chokela. Huyu afande alikuwa akiogopwa kwa adhabu na hasira za kurekure kwao. Akakuta siku moja vitanda havijatandikwa vizuri na havipo kwenye foleni. Hivyo akatoa demo na pia adhabu kwetu makuruta akaiita kusalimia kitanda. Yaani unaweka mikono kwenye chuma kile cha kichwani na miguu yako inakuwa imekita kwenye chuma kile cha nyuma halafu unaanza kupiga push up! Sasa ole wako uwe mfupi kama alivyokuwa mwenzetu tukimuita Short, utapata taabu sana kwa Afande Chokela, maana mikono itafikia chuma cha mbele lakini miguu hata nusu ya kitanda haifiki. Short alipata shida kweli. Lakini taarifa zikamfikia Makame na adhabu hiyo ikapigwa marufuku kabisa.
 
Operation NIDHAMU kama mpo tukumbushana jamani
 
Wale tunaotarajia kwenda keshokutwa hapo vipi tunaruhusiwa kucoment?
 
Hayo yote waliyoongea wakubwa hapo juu yamenifurahisha na kunikumbusha mbaali sana,,,,nakumbuka mwaka 1993(operation miezi sita) mie na rafiki yangu aitwae gwakisa tulianza safari tokea mbeya kwenda arusha kambi ya oljoro,,,tulifika njia panda ya oljoro hiyosehemu inaitwa mbauda, mie na jamaa yangu tukashauriana ngoja tupate bia hata moja moja pale,,eneo hilo lilikuwa linauzwa bia pamoja na mbege,, tukaagiza bia moja moja na kikopo cha lita moja ya mbege,,,,,,,kwenye kona kabisa kulikuwa na bwana mmoja amekaa anakunywa mbege huku akituangalia sana,,,,,na kwa kuwa stori zetu yule mhudumu dada alitusikia kwamba tunaelekea kambini oljoro,,,akamstua yule bwana aliekaa pale pembeni akatumaki sura zetu vizuri,,,,,kesho yake yule bwana alizunguka kombania zote akitutafuta kumbe ni corporal alikuwa anaitwa HEKAHEKA akatudaka wote tuko kombania moja E(eagle coy) saa meja alikuwa anaitwa maduma ,,,huyu bwana alisema kuruta unakunywa bia wakati hekeheka anakunywa mbege leo mtakoma,,,, tulipewa adhabu sitosahau.
Mlahagwa huyo.
 
Chini ya C.O omarg mmari r.i.p ..
A.k.a. boko haramu.
Sijapata ona c.o mwenye roho mbaya kama yule mzee ndo maana kafa kifo cha kushtuka tuu..
Na M.R .R.S.M mzee wa sindobwakie bwanire[emoji23][emoji23]nae r..i.p [emoji24][emoji24]alikuwa akumkuta stafu na kosa ana muuliza 'wewe unavaa kiatu namba ngapi basi kama stafu akisema labda no.8 basi hapo hapo atamwambia una gurd 8 mein get[emoji2][emoji2]
Hahahahah dah C.O MMARI rest easy soldier.... Mzee alikuwa mbabe sana..
 
Nilipita pale ila 2017 mkuu. Sehemu saafi kabisa Operation Tanzania ya Viwanda
Safi sana, Nadhani kuna maendeleo makubwa sana kwenye kambi ile. Hivi mradi wa umeme kwenye maporomoko ya mto embakasi uliishakamilika?.
 
Back
Top Bottom