Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

kale kamsemo Cha kuambiwa kulala kwenye sofa,kumbe unalala ndani ya tank la maji[emoji23][emoji23]
Jamaa alitaka kuongea na Mama ake Afande akamwambia subiri niweke Vocha baadae utapiga simuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila maafande mizinguo sana jamaa alipiga simu saa lizimaaa dadekii mpaka akaanza kulia.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
siku moja mkuu wa kikosi lt col Meena wa Ruvu 832kj mwaka 1986 alikamata makuruta walikuwa wanatoroka.Akawapakia kwenye gari lake nyuma magari wakati huo yaliitwa Dube.Akawa anawaendesha kuwapeleka kikosini wakapewe adhabu cha ajabu alivofika kati ya waliokamatwa wa5 wanne hawakuwepo waliruka kwenye gari wakakimbia akabakia mmoja tu.
Akasema hawa ndio askari hata vitani wakikamatwa ni raisi kumkimbia adui.
Yule aliyebaki akaambiwa sasa wewe utabeba adhabu za wenzako wote maana ni askari rahisi sana kukamatwa na adui kisha ukaenda kutoa siri wewe ni askari legelege.
Safi sana.
 
Tuliopita Mgambo - Kabuku Tanga Tujuane hapa, nime miss machungwa kule shambani bondeni lol.
Nina visa kadhaa pale mgambo jkt.
Kuna afande mmoja alikuwa anaitwa mjerumani huyo, kuna siku aliwalisha watu malimao na maganda yake huku akisema "kurutu" nataka nione mbegu tu hapo chini.
Sababu ikiwa ni ile ya kula machungwa yale yaliyopo barabara ya kuelekea kwenye mahanga ya madawili sitasahau ile moment.
 
Jkt kanembwa 824 kj Afande CO bwegoge,
Chief instructor alikua Captain sebastian Tesha saivi ni major.
Kulikua na Luteni Mwakyobwe akahamishiwa mtabila afande mpenda kuruti ni major sasa uyu jamaa.
Private Marwa asee pt instructor
Marehemu magesa mboje mzee wa doso jamaa alikua anajipiga doso mweyewe anaruka uchura kilometer nne kutoka nduta hadi maini gate.😂😂😂
Mwaka gani Afande?
 
Mkuu ni 835 KJ sio 832 KJ,

Op ya miaka 50 ya Muungano hapo hapo Mgambo, enzo hizo mzabuni ni Kimbinyiko,
CO ni Meja kanole, captain ni Mberenje, Luteni Masalu RSM muuya, afande mkorofi alikuwa kashoza, Sam na Tungu (MP)

Tumevuna sana mahindi
Tumekula sana dose
Tumenyeshewa sana mvua

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
DANGER COY nipo hapa we ulikuwa kujitolea ?
 
Nilikuwa sipendi Mabio ya kupitia kule Rest house mpaka kwa msange na kurudi yanii aisee... sema baadae nikafanikiwa kudoji mabio mamaee yalinikausha sanaa

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Niliacha biashara zangu mtaani nikaenda kujitolea 835kj nashukuru MUNGU kwa uamuzi sahihi niliofanya.
 
Six week ile nikikumbuka nlivolala juu ya makaburi ya wakimbizi pale 824kj kanebwa nhsikia kufa ganzi
Op gani mkuu? Kuna wakati napamisi aisee. Sehemu pekee palioo nikomesha. At the moment ilikua worst experience but now napakumbuka. Hasa Afande Nyang'anyi, daka Nyama, magesa Na sir meja Wa kikosi Na lipikipiki lake. Watu wakisiki sauti ya pikipiki lake wanageuka Na kutoa salamu. "Jambo Afande".
 
Back
Top Bottom