Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Pole sana mkuu sipati picha kazi uliyokula[emoji23][emoji23][emoji23]. Yule mwamba alitunyanyasa sana, nakumbuka tulikuwa na huyo mwana alikuwa fundi wa kubast, yule mwamba alikuwa pro kwenye hiyo harakati na shambani alikuwa nadra kuonekana, kipe alikuwa anamlia timing tu na yule jamaa hakuna kitu alikuwa anachukia kama kubast zamu yake, kuna siku alimkamata vizuri anabast, yule jamaa aliambiwa ale mpaka ashibe kabisa tani yake[emoji23], shuruba aliyopata kutoka kwa huyo katili hakuna mtu alitamani kubast tena hasa zamu ya kipele, nilijikuta tu nikila mkate mmoja nashiba kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yani ikiwa zamu yake hata wazo la kubast haliji!!
Ahahaha anakwambia "kula ushibe blaza naaamini na nguvu unazo ndo maana unanifanyia haya matusi" ila nilitoka hai kabisa
 
Ahahaha anakwambia "kula ushibe blaza naaamini na nguvu unazo ndo maana unanifanyia haya matusi" ila nilitoka hai kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah ndio yalikuwa maneno yake hayo "nguvu"!! Na kilivyokuwa kikavu na sura ngumu mpaka mwenyewe unaogopa!! Kuna wana walimdoji akawakamata, shughuli + kichapo walikula mpaka wana walikuwa wanasimama wanatetemeka lakini hakuwaacha, yani ni mazoezi makali yakisindikizwa na makonde mazito kimya kimya,unasikia sauti za makonde na magoti tu yakijikunja, huku sisi wengine tunaendelea kuhenya na kilikuwa kipindi mvua tope mpaka kichwani lakn mwana anasimamia show kote kote kama uefa na anakwambia kabisa kama wew mwanaume na unajiamini una nguvu tegea hata push up moja uone daah[emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]!! Ile siku kulikucha nikaangalia mawinguni nikasema kweli Mungu yupo hakuna kitu nilifurahi kama nilivyoliona jua kesho yake!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah ndio yalikuwa maneno yake hayo "nguvu"!! Na kilivyokuwa kikavu na sura ngumu mpaka mwenyewe unaogopa!! Kuna wana walimdoji akawakamata, shughuli + kichapo walikula mpaka wana walikuwa wanasimama wanatetemeka lakini hakuwaacha, yani ni mazoezi makali yakisindikizwa na makonde mazito kimya kimya,unasikia sauti za makonde na magoti tu yakijikunja, huku sisi wengine tunaendelea kuhenya na kilikuwa kipindi mvua tope mpaka kichwani lakn mwana anasimamia show kote kote kama uefa na anakwambia kabisa kama wew mwanaume na unajiamini una nguvu tegea hata push up moja uone daah[emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]!! Ile siku kulikucha nikaangalia mawinguni nikasema kweli Mungu yupo hakuna kitu nilifurahi kama nilivyoliona jua kesho yake!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole sana mkuu sipati picha kazi uliyokula[emoji23][emoji23][emoji23]. Yule mwamba alitunyanyasa sana, nakumbuka tulikuwa na huyo mwana alikuwa fundi wa kubast, yule mwamba alikuwa pro kwenye hiyo harakati na shakipele sifa nyingi na kupiha

Wa
mbani alikuwa nadra kuonekana, kipe alikuwa anamlia timing tu na yule jamaa hakuna kitu alikuwa anachukia kama kubast zamu yake, kuna siku alimkamata vizuri anabast, yule jamaa aliambiwa ale mpaka ashibe kabisa tani yake[emoji23], shuruba aliyopata kutoka kwa huyo katili hakuna mtu alitamani kubast tena hasa zamu ya kipele, nilijikuta tu nikila mkate mhiba kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yani ikiwa zamu yake hata wazo la kubast haliji!!


Kipele sifa kibao hamna kitu.Nilimkubali Jrokta na Sir meja awadhi wa B coy na baadae akahamua c coy 2015.Ila pale mgambo wale d coy walikuwa wanakula kazi aisee.Bravo sisi ilikuwa wa mwisho kulala ***** kina wame ,matalya,kabeya ...wenzetu wanalala saa 4 unasikia shangwe tu wanakimbia kulala ila sisi bravo mpaka saa sita.



Nilipata matron nikawa namt..mbea Kota kwake wa palepale bravo op Kikwete- 2015
 
Nimekumbuka msange Tabora OP Kikwete 2015, E coy chini ya OC Jomo, na Sir major Mudo, kuna siku tulikuwa tunapanga tanuru ile tunamaliza akapita luteni mmoja hivi jina limenitoka akatwambia hilo eneo tulilo panga Tanuri hapatakiwi kuchomea hapo tofari kwahiyo tupangue tuhamishe tofari na tupange upya, alafu hapo jua limewaka balaa niliishiwa nguvu nakujilaani, ila nilivyozoea mazingira nikaanza kudoji, maisha ya Msange vyoo hakuna tunajisaidia kwenye shamba la mahindi, nilivyoona shida zinazidi nikajiunga ngoma COY huko nikuimba tu na kukata mauno na wagonjwa wa kudumu nimemic sana Mesi kwa afande Mafleta, maisha ya JKT yalinijenga naweza kuishi sehemu yoyote iwe mjini au kijijini
Nilikuwaga hapo msange jkt 823kj mwaka 2013 ya kujibu. OP miaka 50 ya jkt. Pale msange tulipigishwa sana kazi nyingi ila uzuri tulikuwa tunalishwa vizuri tu.

Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo kambi ni kiboko tz nzima,. Kaka angu alienda pale kwa mujibu wa sheria, siku anarudi, mie, mama, na dada zangu tulilia km tunefiwa, kaka anarudi haeleweki yaan akisinulia mateso yake. Hapan kwa kweli lol.
Na wewe ulienda kambi ipi?
 
Hapo 835KJ Mgambo, baada ya doso la siku nzima wazalendo tulikuwa hangani tunapiga soga, matusi na story za hapa na pale, kumbe kuna maafande wanasikiliza kwa nje, mdudu sijui kinachoendelea nimejilaza kitanda cha kwanza juu kutoka lango la hanga, kumbe kuna afande kaingia kimya kimya akanishika upara kisha akapiga kibao kisicho na maumivu.. Kurutu si nikajua ni mdudu mwenzangu ananiletea za kuleta, nikaropoka "Usishike kichwa tu kisha unaacha, njoo ushike na MBOO"

Kilichofuata Service Boys mnajua [emoji856][emoji856][emoji856][emoji856]
[emoji23]
 
Back
Top Bottom