Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Nimekumbuka msange Tabora OP Kikwete 2015, E coy chini ya OC Jomo, na Sir major Mudo, kuna siku tulikuwa tunapanga tanuru ile tunamaliza akapita luteni mmoja hivi jina limenitoka akatwambia hilo eneo tulilo panga Tanuri hapatakiwi kuchomea hapo tofari kwahiyo
tuhamishe tofari na tupange upya, alafu hapo jua limewaka balaa niliishiwa nguvu nakujilaani, ila nilivyozoea mazingira nikaanza kudoji, maisha ya Msange vyoo hakuna tunajisaidia kwenye shamba la mahindi, nilivyoona shida zinazidi nikajiunga ngoma COY huko nikuimba tu na kukata mauno na wagonjwa wa kudumu nimemic sana Mesi kwa afande Mafleta, maisha ya JKT yalinijenga naweza kuishi sehemu yoyote iwe mjini au kijijini
 
Katika moment ambazo nazikumbuka sana na zina nifurahisha ni za jeshin ,intakeOperation kikwete kwa mujibu 2015 ya msange G coy
Nakumbuka Siku ya kwanza kukesha ilivyo fika saa 10 afande shikorobo akaturuhusu twende hangan tukachukue vifaa vya usafi akutupa kama nusu saa hiv sasa mm nmefika hangan nikasema ngoja ni pumzike kidogo ndo then ndoo niende kwenye kazi niko na viatu vyangu nikatandika blanket nikalala ebana eeh kuja kushtuka 12 tena nmeshtuliwa na service man hanga zima niko pekee yangu nilioogopa niakasema leo nmeisha nika nite tea tea akaniuliz una umarufu gan mpka unalala mpka sasa hz au mtoto wa mwamnyange au umekaangia mungu mayai baada ya kulia lia sana akaniseme
 
Bulombora 821 KJ
OP UCHUMI WA KATI

Mkuu wa kikosi Major general Victatus
OC BM Alphonce

Eagle coy (E Coy)

My favorite soldiers
-Private Mweta (huyu afande alikuwa mtata [emoji119][emoji119])
-Private Khamis
-Private Mwamvua
-Private Tarimo (michezo ya nyani fisi haiwezi [emoji16][emoji16])
-Koplo Kadulege (hapa ni mahali pa takatifu hairuhusiwi kupiga kelele)
-Koplo Ambari ( uwanja wa damu, kwata)
-Sir Major Mushi
Haha hapo nimewafahamu
1 Ambari
2.Mushi
3.Tarimo

Naona mkuu wa kikosi kabadilishwa ..mimi nimepita hapo 2015.
 
Katika moment ambazo nazikumbuka sana na zina nifurahisha ni za jeshin ,intakeOperation kikwete kwa mujibu 2015 ya msange G coy
Nakumbuka Siku ya kwanza kukesha ilivyo fika saa 10 afande shikorobo akaturuhusu twende hangan tukachukue vifaa vya usafi akutupa kama nusu saa hiv sasa mm nmefika hangan nikasema ngoja ni pumzike kidogo ndo then ndoo niende kwenye kazi niko na viatu vyangu nikatandika blanket nikalala ebana eeh kuja kushtuka 12 tena nmeshtuliwa na service man hanga zima niko pekee yangu nilioogopa niakasema leo nmeisha nika nite tea tea akaniuliz una umarufu gan mpka unalala mpka sasa hz au mtoto wa mwamnyange au umekaangia mungu mayai baada ya kulia lia sana akaniseme
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umekaangia Mungu mayai.

jeshi bana,ndio maana watu wakilikosa wanadata.
mtu unakorogwa hivi halafu unaachwa tu.
 
Mm historia yangu mafinga 841kj op muungano A coy dah R I P Matron Tinda oc mm nilikuwa kudoji mpaka uzuri nilikuwa mvumilivu kwenye kazi za watu kuna siku muda wa mafunzo nikaenda kulala kwenye gogo za jikoni nilifurahi show.
 
Nakumbuka Ruvu jkt 2014 kuna MP mmoja hivi akiitwa afande ndomba.yeye alikua anatembea na kitabu cha sheria za jeshi muda wote.sasa akikukamata kurutu huwezi kuchomoka...sifa kubwa ya MP ndomba pale ruvu ni mbio zake.akikukimbiza hauchomoki yan..sasa Siku moja amemkurupua kuruta kwenye mashamba ya alizeti ...afande ndomba anasema hajawahi ona kuruta ana mbio kiasi kile yan alichokua anaona afande ni alizeti zinalala tu kushoto na kulia lakini mtu haonekan kwajins alivyokua anakimbia yule kuruta wa mujibu
Hatari sana
 
Back
Top Bottom