Luteni kanali wengi walikuwa CEO kama sikosei walikuwa hawa deal sana na makuruta....unamuona kwa nadra sana......
Baada ya chakula cha usiku nakumbuka oljoro watu walikuwa wanasimamisha minazi kinoma mitaa ya mgahawa kule duh!....Miye nilikuwa mtoro siku kaa sana olrojo nikaja kuhamia Mgulani kwa Kitomari!....na huko ilikuwa shushushu tuu!....Ila ilikuwa fun kusema kweli...pale oljoro kulikuwa na shamba linaitwa Dunia hujui mwanzo wake wala mwisho.....mtu unapewa mraba ulime umalize by lunch time..maselule wengi tulikuwa tunabakia kule hadi lunch ya "mchana" unakosa....