fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
- Thread starter
-
- #41
poleMii hayo mambo sitaki sasaπππ
Hii katika population tunaita composition ya surplus population. Aina hii ya watu kama tungekuwa tuna mifumo mizuri walipaswa kukamatwa wapelekwe kwenye nchi kama za Somalia au sudan kusini kupata various life skills.Hizi uzi zingine zinaonesha namna watu walivyo hata kama wako nyuma ya kiibodi
Uzi za kijinga hadi mtu unajiuliza maswali bila majibu
Sasa ole wako....Akuuuu ππ Nikitangaza usinidinye tena!
Gentleman,Ndio wapiga kura wa CCM hao. Huoni Mheshimiwa Mbunge ajaye Mheshimiwa Tlaatlaah anavyopost humu. ππππ. Sasa kama Mbunge anapost hivyo, wapiga kura watapost nini?πππ
Sisemi my ππSasa ole wako....
ππππππππππPoor Brain anakamia gemu za kitandani.
Piga nyagi alafu kaa muda wa lisaa then ingia mzigoni ππππ
Au sio..pole
Unaujua MKUYATISisemi my ππ
Jicho la shetaniπHajakulamba ule mstari unaolekea kuzimu?
Ule mstari mtamu jamani, napenda kuulamba mno.
Cc: Extrovert
Naujua my πUnaujua MKUYATI
πππππJicho la shetaniπ
Vumbi la Kongo Lina lemaza wife/ mchepuko/ demu anaweza kukataa mechi za marudiano kisaa izo mundende πππππππππππππ
Weeeh unajua mundende lakini..
πππππ. Wee kichwa hikooo daaahNaujua my π
kwa mawazo kama hayo ndio maana Mola kakunyima cheoHii katika population tunaita composition ya surplus population. Aina hii ya watu kama tungekuwa tuna mifumo mizuri walipaswa kukamatwa wapelekwe kwenye nchi kama za Somalia au sudan kusini kupata various life skills.
ajabuGentleman,
na ndugu wananchi, uongozi si lelemama. uongozi ni utumishi ambao inafaa kichwa yako ikae ngumu sana, sio kichwa nyepesi kuchanganyikiwa na kuukana ubinadamu hata kama tayari unatatizo la kiafya katika maswali ya uzazi na huna sense tena na masuala ya mapenzi
Acha makasiriko dhidi ya wanachofikkiri wengine. ukiwa kiongozi wa wananchi si utapigana nao katika kila mkutano kama mambo ya wengine yatakua yanakuhemsha..
hata hivyo,
CCM inahusikaje na makasiriko yako na huyo muungwana mnapeana moyo na matumaini kana kwamba hamuhisiki na maswala ya kujamiiana kisawa sawa?π
bora hata wewe umejitahidi kujibuUtapeli tu wa mapenzi hakuna show wala nini...Yanini ukomae mpaka upepesuke kisa show? Amkeni mnaibiwa!