Je unakumbuka siku uliofanya mapenzi mpaka ukakubali show

Je unakumbuka siku uliofanya mapenzi mpaka ukakubali show

Gentleman,
na ndugu wananchi, uongozi si lelemama. uongozi ni utumishi ambao inafaa kichwa yako ikae ngumu sana, sio kichwa nyepesi kuchanganyikiwa na kuukana ubinadamu hata kama tayari unatatizo la kiafya katika maswali ya uzazi na huna sense tena na masuala ya mapenzi

Acha makasiriko dhidi ya wanachofikkiri wengine. ukiwa kiongozi wa wananchi si utapigana nao katika kila mkutano kama mambo ya wengine yatakua yanakuhemsha..

hata hivyo,
CCM inahusikaje na makasiriko yako na huyo muungwana mnapeana moyo na matumaini kana kwamba hamuhisiki na maswala ya kujamiiana kisawa sawa?🐒
baeleze baeleze
Dah una umri gan kiongozi!?
63 kwani umri unauhusiano gani na kuwauliza watu minyanduano?
 
Hii katika population tunaita composition ya surplus population. Aina hii ya watu kama tungekuwa tuna mifumo mizuri walipaswa kukamatwa wapelekwe kwenye nchi kama za Somalia au sudan kusini kupata various life skills.
Mkuu somalia Kuna skills gani kule Mogadishu 😅😅
 
Je unakumbuka siku ambayo ulimnyandia demu au mkeo,mpaka akakubali kuwa yes umenyamdua,unakumbuka ulivyofanya? na wewe mwamke unakumbuka siku uliyonduliwa ama na mmeo au mchepuko mpaka ukasema yes leo nimeliwa,tuhadithie
We ni janga la taifa kijana
 
Kwa mujibu wa iman yangu Amelaaniwa yule anaemuingilia mke wake kisha akaenda kutangaza kila alichofanya
ni moja kati ya majibu mjarabu,ambayo yametolewa na mtu rahimu,ambae hajifichi nyuma ya kujifanya ni mtu mkamilifu asiyefanya haya mambo, kumbe ni shetani mkubwa.hongera
 
Back
Top Bottom