Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nikioa ntakuwa namlinda mke wangu kama nyegere vile
Na mimi nikiolewa ntakuwa namlinda mume wangu kama nyegere vile.Nikioa ntakuwa namlinda mke wangu kama nyegere vile
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na mimi nikiolewa ntakuwa namlinda mume wangu kama nyegere vile.
Sasa unampango gani na mimi?
AaahNa mimi nikiolewa ntakuwa namlinda mume wangu kama nyegere vile.
Sasa unampango gani na mimi?
Sijui JF kama kuna sheria ya kumuadhibu mtu "anayeiba" habari ya mwingine na kuirudisha hapa hapa kwa jina lake.Ame-copy na ku-paste habari hii pamoja na picha kama nilivyoileta humu jukwaani miezi kadhaa iliyopita.Dah nishawahi kusoma huu uzi humu Jf ila poa umenikumbushia tena habari za bwana mkorofi
Achaga umbulula wewe, mimi hii habari source yake ni muungwana, ukipenda kagombane na mmiliki wa muungwana blogSijui JF kama kuna sheria ya kumuadhibu mtu "anayeiba" habari ya mwingine na kuirudisha hapa hapa kwa jina lake.Ame-copy na ku-paste habari hii pamoja na picha kama nilivyoileta humu jukwaani miezi kadhaa iliyopita.
Kaikuta huko watu "wameiiba" humu na yeye kairudisha tena humu
Sasa umbulula wa nini tena mkuu?Ukitaka kuanzisha mada..Ili kujua kama imeshakuwepo humu,thread huwa inajitokeza kwa chini....Sio kesi,wala haina haja ya kunitukana...Sina haki miliki yoyote.Ndio raha ya Jf...Kama imefika hadi kwa Muungwana basi jambo jemaAchaga umbulula wewe, mimi hii habari source yake ni muungwana, ukipenda kagombane na mmiliki wa muungwana blog
inshort habari au makala yoyote unayo ikuta kwenye hizo blog zenu uchwara ama fb na watsap chimbuko lake ni jf wengi wanacopy na kupaste jf..... ifike mahali post za jf ziwe na "copyright" ili hawa wanaoiba madini humu bila ku aknoleji wakomeshwe....Achaga umbulula wewe, mimi hii habari source yake ni muungwana, ukipenda kagombane na mmiliki wa muungwana blog