Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Kivipi? MwerevuMkuu jaribu kuficha ujinga hata kidogo
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi? MwerevuMkuu jaribu kuficha ujinga hata kidogo
Watu bwana!Uyu mnyama anatabia zote za BAVICHA anachi ushuzi na kukimbia huku nyuki wakimfuata mkiani
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
We mzee unazingua ujue [emoji23]
Duh! Ana wivu sanaYupo radhi kung'oa majani yatakayomgusa demu wake
Huyu ni kiboko ya koboko. Koboko (black mamba) ni nyoka hatari sana lakini mbele ya huyu mnyama utamuonea koboko huruma.Huyo anaitwa honey badger. Ni mnyama jasiri sana na chakula chake kikuu ni nyoka. Ukigoogle the most fearless animal utampata na kuona mambo yake. Si wa mchezomchezo!
Hapana Mkuu najaribu tu kuwaza! Maana hata sura yake inasadifu matendo yake kwakuwa inasemekama ana wivu sana kwa demu wake?We mzee unazingua ujue [emoji23]
Unaleta mambo ya siasa pasipo husikaKivipi? Mwerevu
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Swali zuri sana na kwenye zoo zetu mfano Dar Zoo anapatikana huyo?Mkuu anawezaje kumdhuru binadamu??
Mkuu tufafanulie kidogo maana wengi wana sema mtata hasa kwa wanaume.Huyu wanaume Ana wa washambulia kwenye mapumbu, ni mbishi ukikutana naye hakupishi njiaa
Nshakutana na mziki wake kwenye chaka moja
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Ongeza sauti aje tujifunze wengi.Shadeeya njoo utaje sifa za Nyegere au humjui?
Duh! ndugu tufafanulieni vyema wengi wetu hatujamwona huyo kiumbe.Nimewaona mwaka jana wakiwa wawili vijeuri ilibidi tusimamishe gari wapite kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app