Lazima unanifahamu, Lingo Kuna kipindi nimeishi nae mitaa ya jirani akiwa ubungo miaka ya 2015 nadhani. Huyo ni lingo mbanga sio matengele...Tovuti kitambo sijamsoma yule diaspora. Vivian docs Sana nadhani mambo yake
Sina,ila easy tu kuipata...kwao pale forest Kuna mtu lazima anayo! Kuna kipindi alikutana na changamoto,ngoja nitamcheki jamaa then nikutumie...ilikua ABCD nini? Unakumbuka mtera mwampamba,jamaa Mmoja hivi class yetu akarudia mwaka form two