Cc Stuxnet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cc Stuxnet
alikuwa falafrunt sana..mama wa kagera ded alimjibu vyema baadae akatumbua alianzisha taasisi ya uchawaShida ya JPM alikuwa hataki ujitetee akisema we boya ukae kimya akisema we mwizi ukubali tu.
Hapo nimestukaAfe kimya kimya bila media kweli
Alikufa huyo askari magerezaHuyu mwamba wakuniinua aliamishiwa Tanga huko gereza la maweni 😁
magu alikuwa hapendi mtu wa kumwelezi facts. Akiwa waziri wa ujenzi kuna jamaa walileta boat kwa ajili ya kanda ya ziwa zilikuwa speed boats. Sasa ilibidi zipakiwe kwenye magari yatembee kutoka dsm hadi mwanza ziwekwe ziwa victoria.Yule Alimtisha Sana Jiwe
Alimwambia Kuanzia Ghorofa Moja Nyumba Ya Serikali Hasa Hospital Lazima Kuwe Na Lift
jiwe Akasema Kwako Kuna Lift Jamaa Akasema Kwangu Siyo Jengo La Umma
Pia Lift Inawekwa Kwa Matakwa Ya Sheria Siyo Mtu Kutaka
Huyu ndiye kiboko wa Magufuli. Alizoea kutisha tisha watu, hapa akakutana na kisiki
Braza dah Asante kwa kuifanya siku yangu .Kama Unakumbuka Na Kufuatilia Hotuba Za Jiwe Utagundua Mengi
Akiwa Arusha Halafu RC Ni Mrisho Gambo Walinunua Wapinzani Kwa Gharama Kubwa
Utakumbuka Ilikuwa Kama Fashion Kutangaza Hadharani Wapinzani Leo Wanarudi CCM
Ajabu Wale Wahuni Wa Chadema Walichukua Cash Siku Jiwe Akiwa Sheikh Amri Abeid Stadium, Gambo Anasema Leo Mheshimiwa Rais Utapokea Wapinzani Wanaorudi CCM
Oops Jamaa Hawakuwepo Wamekimbia Na Cash Ya CCM
Kwa Hasira Jiwe Bila Kuzima Microphone Alitamka Pumbavu Sana Hawa
Akamuuliza Mkuu Wa Mkoa Wako Wapi Watu Wako?Kimyaa
akasema Pumbavu Sana Hawa
Hayati alikuwa na mabiti sanaalimpandishia raisi sauti dah alipigwa mkwara mmoja na JPM hapo hapo akafyata
Hii nakumbuka, nilikuwa jirani kabisa😂😂Kama Unakumbuka Na Kufuatilia Hotuba Za Jiwe Utagundua Mengi
Akiwa Arusha Halafu RC Ni Mrisho Gambo Walinunua Wapinzani Kwa Gharama Kubwa
Utakumbuka Ilikuwa Kama Fashion Kutangaza Hadharani Wapinzani Leo Wanarudi CCM
Ajabu Wale Wahuni Wa Chadema Walichukua Cash Siku Jiwe Akiwa Sheikh Amri Abeid Stadium, Gambo Anasema Leo Mheshimiwa Rais Utapokea Wapinzani Wanaorudi CCM
Oops Jamaa Hawakuwepo Wamekimbia Na Cash Ya CCM
Kwa Hasira Jiwe Bila Kuzima Microphone Alitamka Pumbavu Sana Hawa
Akamuuliza Mkuu Wa Mkoa Wako Wapi Watu Wako?Kimyaa
akasema Pumbavu Sana Hawa
Tovuti,mike mkorosahi R.I.P, mapepo wa jangwaniGanzi alirudia form two mbeya day,tukamwacha darasa moja
Unawafahamu hawa jamaa?!Tovuti,mike mkorosahi R.I.P, mapepo wa jangwani
Ndio ,nimesoma nao. Mkolosai wiki kabda ajapata ajali nilikua nae Soweto mbeya nakumbuka, hope alikua katoka makanta kwao huko.Unawafahamu hawa jamaa?!
Mick marehem tovuti lingo mbanga vivian na wana wengine hapo sai ni wanangu sana lazima hata wewe tunafahamiana tu.Ndio ,nimesoma nao. Mkolosai wiki kabda ajapata ajali nilikua nae Soweto mbeya nakumbuka, hope alikua katoka makanta kwao huko.
Lazima unanifahamu, Lingo Kuna kipindi nimeishi nae mitaa ya jirani akiwa ubungo miaka ya 2015 nadhani. Huyo ni lingo mbanga sio matengele...Tovuti kitambo sijamsoma yule diaspora. Vivian docs Sana nadhani mambo yakeMick marehem tovuti lingo mbanga vivian na wana wengine hapo sai ni wanangu sana lazima hata wewe tunafahamiana tu.