Je unasifika kwa TABIA gani mtaani kwako?

Je unasifika kwa TABIA gani mtaani kwako?

hahahaaa. Safi sana kiongozi. Uko kama mimi. Yaani hata baadhi ya marafiki zangu wa karibu hawafahamu tabia yangu, huwa nabadilika kulingana ma mazingira -niko wapi, nipo mahali hapo kwa dhumuni gani, nani yuko karibu na mimi, ni mda gani, ... Yani full kuwachanganya watu. Kuna wengine wanajua sipigagi story na mtu, kuna wengine wanadhani sitimii kilevi cha aina yeyote, kuna wengine wanajua mimi ni bonge la mlokole, kuna wengine wanahani mimi ni chapombe wa kufa mtu, kuna wengine wanasema mimi ni napenda sana malaya, wengine wananionma mimi bonge la mshamba etc. lakini yote hayo ni uongo... najijua mimi mwenyewe. sijui humu JF naonekanaje
basi wewe ni ninjaa
 
Jirani zangu Wananiita Mr nice guy sielew Kwanini but it keeps growing
 
Nna kasumba ya kuaminiwa na kila mtu katka mambo mengi sana kutokana jinsi nilivyo na wakati naingia ingia kwenye mambo ya kikubwa hakuna aliyewahi kunichimolea mpaka ikawa inawashangaza watu walipokuja kugundua nimepita nao karibu wote mtaani
 
Kutokana na maana na asili ya jina langu basi kila mtu anionapo na kuongea na mimi japo dk mbili tu huwa anasema kweli jina lako linasadifu tabia yako.

Ni mpole na mwenye huruma . Ndivyo nilivyo na watu huwa wananielezea hivyo hata nisipokuwepo hizi sifa mara nyingi huwa nazipata kwa mama yangu mzazi mpaka kuna mzee mmoja alitaka kunipa binti yake nioe akiamini atakuwa kwenye mikono ya mwanamume sahihi.
Mmh kazi unayo
 
Kutokana na maana na asili ya jina langu basi kila mtu anionapo na kuongea na mimi japo dk mbili tu huwa anasema kweli jina lako linasadifu tabia yako.

Ni mpole na mwenye huruma . Ndivyo nilivyo na watu huwa wananielezea hivyo hata nisipokuwepo hizi sifa mara nyingi huwa nazipata kwa mama yangu mzazi mpaka kuna mzee mmoja alitaka kunipa binti yake nioe akiamini atakuwa kwenye mikono ya mwanamume sahihi.

Cc wapoleee
 
hahahaaa. Safi sana kiongozi. Uko kama mimi. Yaani hata baadhi ya marafiki zangu wa karibu hawafahamu tabia yangu, huwa nabadilika kulingana ma mazingira -niko wapi, nipo mahali hapo kwa dhumuni gani, nani yuko karibu na mimi, ni mda gani, ... Yani full kuwachanganya watu. Kuna wengine wanajua sipigagi story na mtu, kuna wengine wanadhani sitimii kilevi cha aina yeyote, kuna wengine wanajua mimi ni bonge la mlokole, kuna wengine wanahani mimi ni chapombe wa kufa mtu, kuna wengine wanasema mimi ni napenda sana malaya, wengine wananionma mimi bonge la mshamba etc. lakini yote hayo ni uongo... najijua mimi mwenyewe. sijui humu JF naonekanaje

unaonekana mbabe km avatar yako
 
Mimi kwa kupiga wezi ni balaa ninatoa mapigo murua kabisa yaani imefikia hatua nikiwa nimesafiri wakimkamta mwizi wanamuhifadhi vizuri kabisa wanasubiri nirudi nimtembezee kichapo

we jamaa utakuwa kuni jehanamu
 
Mtaani kwetu wananichukulia mtu ambaye niko very serious, anayeogopwa, asiyezoeleka kirahisi (uso wa mbuzi). But in reality, niko very humble, down to earth, loving and caring,. Walio karibu yangu, au walioweza kupenya fences wakanifikia na kunizoea wanafurahia kuwa nami.
In fact sipendi majivuno mtaani, sipendi show off, niko na hamsini zangu, naheshimu kila mtu, wakubwa na wadogo. Karibuni kwangu.
 
Back
Top Bottom