Je, unataka kuolewa na mume Mwafrika asiye Mtanzania? Wajue wanaume wa Kiafrika na sifa zao

Je, unataka kuolewa na mume Mwafrika asiye Mtanzania? Wajue wanaume wa Kiafrika na sifa zao

Labda awe anaongelea wanaume wasiojitambua( Marioo) pekee maana hao hata huko Tz wapo wengi Sana.
 
Hapo kwa Kenya umezingua sana mkuu, unawezaje kutuvunjia heshima namna hii.

Hii habari yako Haina mashiko hata kdgo mkuu, kama Kuna nchi Duniani yenye wanaume wababe basi ni nchi yangu Kenya. Huku sisi huwa hatuendekezi ujinga wa wanawake.

Please withdraw Kenya from your thread.
Sikusikia kuwa mkilewa mnanyonya maziwa ya wake/wapezi wenu? Lakini ni kweli huko Kenya kuna mijike mibabe kweli!
 
Hakuna mwanaume wa Kenya anayeweza kupigwa na mkewe.Hizo taarifa mlizopewa Ni za uongo tu.
Hapo umesema uongo. Labda useme wanaume wachache saana wanapigwa na wake zao. Dunia nzima na katika kila culture lazima upate wanawake wanaopiga waume zao. Hata kule kwa akina Mura kuna mijike inawatwanga waume zao.
 
Hakuna mwanaume wa Kenya anayeweza kupigwa na mkewe.Hizo taarifa mlizopewa Ni za uongo tu.
Umesahau raisi wenu Mwai Kibaki (R.I.P.) alikuwa anatwangwa na mke wake? Hiyp ilikuwa siyo siri.
 
Naunga mkono utafiti,
Sema watanzania umetusahau[emoji4]
 
Back
Top Bottom