Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Ila nanyie mpo ambao mapishi yaliwapita kushoto ...hasa nyie watoto wa boarding schools
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaa katika vitu siwezagi ni vitafunwa yaan ngano sjui imenipitia kushoto mwee!!
Nakumbuka kuna kipindi nlisema nijifunze chapati,kilitoka kitu kigumuuuuu kama kaukau[emoji23][emoji23]
Nkaona isiwe shida,nkaacha na kujifunza bas sijarudiaga tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa baadhi ya mapishi nasikia yapo huko.
Nimeelekezwa kwenda kuangalia ubwabwa wa nazi ambao unawekwa njegere ndio sababu akaniambia niende google.
Sema mi naonaga huko google wanapika sana kizungu wakati mi mswahili. [emoji23][emoji23]
Ni kwel,tena weng sana. Hahahaaa boarding nlisoma miaka miwil tu jamanIla nanyie mpo ambao mapishi yaliwapita kushoto ...hasa nyie watoto wa boarding schools
Hapo nimekuzidi...mie chapat ,nusukeki , hapo natengeza vzur tu
Karibu mkuu,nawe utupe ujuzi wakoNgoja sisi wa kutoka bara tuweke kambi hapa kujifunza mambo ya Nazi na misosi
Aaahh sawa labda ,nisiseme sanaNi kwel,tena weng sana. Hahahaaa boarding nlisoma miaka miwil tu jaman
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna maharage kwetu tunaita ya kukata unayajua hayo lenie?Ila chapati napenda sana,nikizimiss napika maharage yangu ya nazi then chapati naenda kununua nakula nalala. Labda sjui nipate tena moyo wa kujifunza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sijawahi kupika kwa Nazi maana kibachelor bachelor hizo complication za Nazi ni ngumu......ngoja nijifunze hapa
Yes,kuna mgahawa huwa naenda wanatumia sana Nazi so naenjoy kula,basi leteni notes tujisomee tukajaribu kupikaKaribu ndugu yangu ujifunze kwani Chakula cha nazi huwa ni kitamu na siku zote hakiishi hamu.
Hua nayaskia bt sijawah kupika wala kuyala....ni yale unaunga vzuri, nazi lile tui la 1 unalichemsha pembeni had likiva unamwagia kwenye maharage? Au nimekosea nielekeze vzur dearKuna maharage kwetu tunaita ya kukata unayajua hayo lenie?
Basi nitarudi hapa kupata elimu,saizi akili iko uwanja wa Samora,iringa.....najua we ni mwenzanguUsijali Mkuu wadau wameandika baadhi au ndio unataka hadi Mahitaji?
kinachohusika.
Mkuu sijawahi kupika kwa Nazi maana kibachelor bachelor hizo complication za Nazi ni ngumu......ngoja nijifunze hapa
Nazijua mkuu....ila sina elimu ya namna ya kutumiaKwel kibachelor ngumu,ila saiv kuna nazi za pact za azam unaweza kutumia hzo kupikia wali na mboga kama dagaa n njegere
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hayo hayo my dear.Hua nayaskia bt sijawah kupika wala kuyala....ni yale unaunga vzuri, nazi lile tui la 1 unalichemsha pembeni had likiva unamwagia kwenye maharage? Au nimekosea nielekeze vzur dear
Sent using Jamii Forums mobile app
Nazijua mkuu....ila sina elimu ya namna ya kutumia