Je, unaungaje chakula chako kwa kutumia nazi?

Unajua kupika asee hadi hamu imekuja ghafla..

Unawezaje kutumia nazi za pakti kupikia maana wengine tunapenda nazi ila kuanza kuikuna ni mtihani

Sent using Jamii Forums mobile app
 

me piah nilipikaga mara moja kama hivi but niliongezea pilipili ya kuwasha.
Baada ya hapo ckuwah kupika tena chakula nikaunga na nazi.
 
Kwakweli kile chakula hakichoshi...

Sasa balaaa, nilipoamka ASUBUH kula kipolo chake cha wali Nazi

Mamaaaaaaaaaaa hahahahahha nilikula ni bila mboga nikakomba na ukoko
 
Hahahaa hutaki mbwembwe nyingi, ila uko vzuri hapo unatoa msosi wa ukwel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…