Je, unaungaje chakula chako kwa kutumia nazi?

Je, unaungaje chakula chako kwa kutumia nazi?

Hahaha we acha Mkuu, chezea vipolo vyotee lkn sio kipolo cha wali Nazi...unaweza nunulia watoto ngano ,ili kipolo kibaki kua chako ..nabado watoto wakataka kipolo ikoiko mtoke pasu !!!!...


Sema siku hizi nikipika , napika lkn sienjoy kivile ,sijui kwann ??....
Na vile baba mnajua kujipendelea. 😀😀

Duuh!! Kwa nini sasa uenjoy au umezowea sana chakul cha kununua Mkuu?
 
Hahahaha kumbe unapenda wali njegere.... Jikaribishe kwangu, nikupikie nawewe kesho yake unipikie ..
Et nijikaribishe[emoji23][emoji23] napenda sana njegere.... nisipoipika njegere kama mboga bas ntaiweka kwenye wali,pilau, nyama yaan popote pale itakapofit mradi roho yangu isuuzike


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitasahau hyo siku nmerud likizo toka boarding nkakuta wamepika wali na njegere za nazi na nlikua napenda sana njegere

Hapo nlikua nmemiss msosi wa home bas nlikulaaa had nkavimbiwa[emoji23][emoji23] mateso yake sitayasahau

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂 Kilitokea nini mwaya?
 
Niligalagala hapo chini,nkawa siwez kupumua vzur sjui,maana tumbo limejaaa[emoji23][emoji23][emoji23] nilihangaika sana had nkaja kua sawa niliteseka mnoo ile siku,since then nikawa nakula kwa adabu.

Unajua utoto na mambo ya shule ile unapania msosi maana boarding ni makande ukibadili ni wali hata hauvutii sasa hapo unasema nikifika home misosi itanikomaa hee vikanitokea puani
[emoji23][emoji23][emoji23] Kilitokea nini mwaya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raha ya chakula upikiwe,hata mm nikipika chakula wakati wa kula hua sienjoy vzur kama kile amepika mwingine then mm niwe mlaji ila ukitoka kupika af ukaanza kula kwel hata huenjoy vzur



Sent using Jamii Forums mobile app
Mi basi hii hali inanikuta nikipika chapati. Yaani huwa sizihisi kabisa na hamu nazo inakata sa sijui ni ule moshi?
 
Mi basi hii hali inanikuta nikipika chapati. Yaani huwa sizihisi kabisa na hamu nazo inakata sa sijui ni ule moshi?
Yeah nadhani ni ule moshi na harufu ya msosi me. Mm inanitokea sana nikipika samaki...ile process ya kukaanga then unakuja kuunga bas nikiona hyo hali hua baada ya kupika sili mda huo. Nasubir kama lisaa hv ndo naenda kula ndo ntaenjoy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]


Mm napika kama Shadeeya tu

Naanza na tui jepesi
Namaliza na zito

Ila muda wa kukuna nazi sina

Nikijiskia kupika na kula nazi basi hua ya azam either1 au 2

Inategemea naihitaji kwa kias gani
Ila jamani tunapenda chakula cha nazi lakini mtihani upo kwenye kukuna hiyo nazi.

Mi huwa mdada ndio kazi yake hiyo nikiwa naandaa huku yeye awe anakuna hiyo nazi. 😀😀
 
Kwakweli ukioa na usinenepe basi wee una bila zako zakutaka kuonyesha kama mtoto wa watu hakujaliSiunaona Enock Bwigane wa TBC alikua chembamba..lkn baada ya KUOA ,... Kawa kama kifutu ...

Lazma ninenepe tu
Aisee mi siku ya kwanza kumwona sikujua kama ni yeye.

Kupikiwa huko Mkuu.
 
Back
Top Bottom