Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu umenifrahisha,yaan utamu wa kiporo chake unaweza toboa sufuria atiKwakweli kile chakula hakichoshi...
Sasa balaaa, nilipoamka ASUBUH kula kipolo chake cha wali Nazi
Mamaaaaaaaaaaa hahahahahha nilikula ni bila mboga nikakomba na ukoko
Sent using Jamii Forums mobile app