Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why not? Kama mwanamke anajielewa unaoa tuu. Cha msingi kaburi la baba mtoto uwe umeliona🤣🤣🤣🤣🤣Ukiwa kama mtoto wa kiume unayetegemea kuoa je, unaweza kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Vipi mwanawane unataka kujitosa kwa single mama nini? Itakuwa anakupa mapenzi moto moto mpaka unataka kubeba mazimaaUkiwa kama mtoto wa kiume unayetegemea kuoa je, unaweza kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Hhhh yani ulivyoanza na ulivyonaliza ni very technical.Why not? Kama mwanamke anajielewa unaoa tuu. Cha msingi kaburi la baba mtoto uwe umeliona🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbuka majukumu lazima uyabebe kama baba ##ukipenda boga penda na na lakeUnaoa mwanamke na siyo mtoto....ukitaka kuishi na mwanae ni sawa pia
IndeedKuoa mwanamke mwenye mtoto/ watoto Ni Moja Kati ya maamuzi magumu ambayo mwanaume anaweza kuyafanya.Especially Kama baba mtoto angali hai,Hapa kuchapiwa mke kupo nje nje.
utachapiwa Sana aisee!
Inawezekana kabisa kuoa single mother. Si wachepukaji wakiolewa ila ni warahisi sana kabla ya kuolewa.Ukiwa kama mtoto wa kiume unayetegemea kuoa je, unaweza kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Siyo kweli, mbona mimi single mother wangu kaolewa na sijawahi kuchapa na hatujawahi kuongelea hili suala la kuchapana zaidi ya kutuma matumuzi ya mtoto tuu.Kuoa mwanamke mwenye mtoto/ watoto Ni Moja Kati ya maamuzi magumu ambayo mwanaume anaweza kuyafanya.Especially Kama baba mtoto angali hai,Hapa kuchapiwa mke kupo nje nje.
utachapiwa Sana aisee!
KweliKumbuka majukumu lazima uyabebe kama baba ##ukipenda boga penda na na lake
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app