Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Wivu utakuuua!!Muda huo baba wa mtoto yupo wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu utakuuua!!Muda huo baba wa mtoto yupo wapi
Upo sahihi, vijana waache woga wa majukumu na kuoa mwanamke ambaye atakuwa mke wa jamii.Kuogopa kuoa mwanamke mwenye mtoto nao ni utoto,uoga,kukwepa majukumu,uchoyo na kutopenda ushirikiano kijamii.
Manara akili zake anazijua mwenyewe yule khakhakhaaaa!!Kama manara Kaoa we nani[emoji12]
Jaribu kuomba mchezoSiyo kweli, mbona mimi single mother wangu kaolewa na sijawahi kuchapa na hatujawahi kuongelea hili suala la kuchapana zaidi ya kutuma matumuzi ya mtoto tuu.
Yupo mjini ana puyanga halafu kojo lake ushughulike nalo weweMuda huo baba wa mtoto yupo wapi
Kwani ni vibaya kuoa mwanamke mwenye mtoto?Manara akili zake anazijua mwenyewe yule khakhakhaaaa!!
Ndiyo vibaya sisi wabantu tumezoea mwanamme ndiyo anakuwa na watoto na mke zaidi ya mmoja na siyo mwanamke anakuwa na watoto wa baba zaidi ya mmoja , ndiyo maana wanawake kutoka bara akiwa na watoto mfano 5 mme wake akafariki huwezi kuona anaolewa tena na kuzaa muda mwingi atatumia kulea wanae ili wasije kuteseka, lakini wanawake wa pwani atakuwa na watoto 10, siku akifiwa na mume wake tu lazima ataolewa na kuzaa tena watotoKwani ni vibaya kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Mmmmh.Siyo kweli, mbona mimi single mother wangu kaolewa na sijawahi kuchapa na hatujawahi kuongelea hili suala la kuchapana zaidi ya kutuma matumuzi ya mtoto tuu.
Sio kuogopa , ishu ni kupunguza uwezekano wa matatizo yatakayo tokana na uwo usingle mother.Moronight walker unaogopa kuoa single maza?Umejitwisha jina "nene" halafu muoga?
Wanaume wanawaacha mtoto wake kwa mwanamume mwingine kwa sababu anakimbia majukumu ya mtoto wake wa nje.utoto,uoga,kukwepa majukumu