Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Wapi 50ml kila kijiji?Magufuli anatenda lile analoliongea na tabia hiyo inampatia heshima kubwa kwa watu.
Nimemkosoa Lissu mwenye agenda mbaya zilizojificha katika ujengaji wake wa hoja.
Wapi laptop za walimu?
Wapi umoja kama taifa?
Wapi uhuru wa kujieleza?
Kulikoni mauaji ya wakosoaji?
Ccm hamna utu na mmeiharibu nchi, ilikuwa kisiwa cha amani sasa inaelekea kuwa Sudan