Je, unawezaje kufanya biashara ya Nyumba za Kulala wageni Lodges, Guest Houses ukiwa mbali na Upate faida?

Nimekupata Boss, wasiwasi wangu ukizubaa kidogo muhudumu ananufaika na wewe mwenyemali unakuta unakufa kwa stress za marejesho ya Mkopo
Waoneshe thamani kuwa wanafaa kusimamia biashara yako, watakulipa trust me.
 
Lazima uwe na system inayoweza kufanya monitoring ya kuingia na kutoka kwa wateja, CCTV, milango, check-in/out etc. enzi zangu ningekuandikia proposal kabisa ya mfumo ila vijana wapo humu wanaweza kufanya design na implementation ya mfumo kama huo
Shukrani boss, ingawa idea ya CCTV baadhi wanasema inaweza kukimbiza wateja wakijua kuna Camera wanaweza wasirudi. Si unajua wengine huja kuiba na kuondoka
 
waoneshe thamani kuwa wanafaa kusimamia biashara yako , watakulipa trust me
Shukrani Boss kwa ushauri, nitareja mrejesho siku moja hapa
 
Mfano mzuri kama mwenyeji wa dar ata kama sio dar fuatilia yule kalito wa samaki samaki anavotreat na kuishi na wahudumu wake kuna kitu huwa najifunza kwake, sijawahi kwenda samak mhudumu ukampa pesa inayobaki change wakakuzungusha ila nenda pengine uone ....
 
Asante kwa observation yako, barikiwa sana Mkuu.

Nadhani ishu ya Customer care na yenyewe ni muhimu kwa wateja kama sijakupa uzuri. Umfanye mteja kesho arudi kwa huduma atakayopata akija
 
Reactions: Lee
Wakuu, habari za muda huu?


Naomba tupeane uzoefu, Je unawezaje kufanya ufuatiliaji wa biashara ya Nyumba ya kulala wageni iwapo utakuwa Mkoa tofauti na ulipofungulia biashara yako?
๐๐ฃ๐จ๐จ ๐ง๐ข๐ค๐ฎ๐ฎ๐ณ๐ข๐ž ๐ง๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐›๐š ๐ฒ๐š ๐ ๐ฎ๐ž๐ฌ๐ญ ๐ฆ๐จ๐ฃ๐š ๐ข๐ฉ๐จ ๐ฃ๐ข๐ฃ๐ข๐ง๐ข ๐ฆ๐ฐ๐š๐ง๐ณ๐š

I๐ง๐š ๐ฏ๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐›๐š 11 ๐ฏ๐ฒ๐จ๐ญ๐ž ๐ง๐ข ๐ฌ๐ž๐ฅ๐Ÿ ๐œ๐จ๐ง๐ญ๐š๐ข๐ง๐ž๐.

I๐ง๐š๐ก๐ข๐ญ๐š๐ฃ๐ข ๐ค๐ฎ๐ฆ๐š๐ฅ๐ข๐ณ๐ข๐ฐ๐š ๐ญ๐ฎ ๐Ÿ๐ฅ๐จ๐จ๐ซ ๐ง๐š ๐ฌ๐ž๐ก๐ž๐ฆ๐ฎ ๐ง๐ฒ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ง๐ž ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ง๐ฃ๐ž ๐ก๐š๐ค๐ฎ๐ฃ๐š๐ค๐š๐ฆ๐ข๐ฅ๐ข๐ค๐š ๐ฏ๐ข๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข

B๐ž๐ข ๐ž๐ฅ๐ž๐ค๐ž๐ณ๐ข ๐ง๐ข ๐“๐ฌ๐ก๐ฌ ๐ฆ๐ข๐ฅ 75
 
Naam kuwaminya kwenye mshahara ni chanzo kikubwa cha kukuibia. Kama unaweza hata kuwaongezea 50K wote si mbaya.

Kwahiyo huenda malipo duni yakachangia kwa kiasi kikubwa kuibiwa??

Rafiki yangu anasema alikuwa anamlipa shilingi 250,000 Muhudumu na shilingi 100,000 aliyekuwa anafanya usafi wa Chumba na mashuka
 
Mkuu shukrani kwa offer yako.

Mimi ndiyo nataka kuanza biashara hii, na tayari nina vyumba 10 saivi nafanya finishing ili nianze biashara. Niombee nifanikiwe nije kununua na yako ya Mwanza
 
Asante kwa observation yako, barikiwa sana Mkuu.

Nadhani ishu ya Customer care na yenyewe ni muhimu kwa wateja kama sijakupa uzuri. Umfanye mteja kesho arudi kwa huduma atakayopata akija
Yes ndo point yangu kubwa, upendo na urafiki utakaowaonesha ndo watakaounesha kwa wateja..
 
yes ndo point yangu kubwa, upendo na urafiki utakaowaonesha ndo watakaounesha kwa wateja..
Kwakuwa ndiyo nataka kuanza, hapa tayari pana Lodges za kutosha jirani. Ila ili kuvutia wateja zaidi nataka kuwapa offer bodaboda na Bajaj kila atakayeleta mteja nampa shilingi 1,000. Lengo ningependa nianze kujaza Mimi kwanza ndiyo wengine wafuatie.

Hii unaiyonaje Mkuu?
 
Reactions: Lee
Shukrani boss, ingawa idea ya CCTV baadhi wanasema inaweza kukimbiza wateja wakijua kuna Camera wanaweza wasirudi. Si unajua wengine huja kuiba na kuondoka
Naamini kuna hata hidden CCTV(wasi wasi wangu ni kisheria imekaaje) ikiwekwa sehemu kama mapokezi unauwezo wa kujua idadi ya wanoingia kwenye vyumba, hizi system za milango kuna uwezekano kabisa wa kutumia hata kadi kufungulia mlango, mfanya usafi yeye anakuwa na kadi yake maalum.

Kadi ya mteja ikitumika kufungua mlango hapo inakuwa inahesabika ni hela imeingia + ushahidi wa camera unakuwa umemaliza mchezo.

Katika biashara yoyote ambayo unakuwa mbali nayo ni muhimu kuwa na imani na uliyemuajiri ili kupata amani ya moyo, ila ni muhimu zaidi kuamini umemuajiri mwizi!
 
Kwakuwa ndiyo nataka kuanza, hapa tayari pana Lodges za kutosha jirani. Ila ili kuvutia wateja zaidi nataka kuwapa offer bodaboda na Bajaj kila atakayeleta mteja nampa shilingi 1,00. Lengo ningependa nianze kujaza Mimi kwanza ndiyo wengine wafuatie
Hiyo ni mbinu nzuri ya kuongeza wateja....
 
Mkuu shukrani kwa offer yako.

Mimi ndiyo nataka kuanza biashara hii, na tayari nina vyumba 10 saivi nafanya finishing ili nianze biashara. Niombee nifanikiwe nije kununua na yako ya Mwanza
๐€๐ฌ๐š๐ง๐ญ๐ž ๐ฌ๐š๐ง๐š. ๐‡๐ข๐ข ๐ฌ๐ข๐ฒ๐จ ๐ฒ๐š๐ง๐ ๐ฎ ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ง๐š๐ข๐ญ๐š๐ง๐ ๐š๐ณ๐š ๐ญ๐ฎ ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐๐š๐ฅ๐š๐ฅ๐ข.

๐•๐ข๐ฉ๐ข ๐ฎ๐ง๐š๐ฉ๐š๐ญ๐ข๐ค๐š๐ง๐š ๐ฐ๐š๐ฉ๐ข?
 
Ni kweli Mkuu, wakati mwingine wasiwasi wako ndiyo faida yako pia. Imagine una deni la Benki, hapo lazima uwe macho masaa 24 kufatilia
 
Shukrani kwa sasa Mkuu
 
Funga camera unaona wateja wako wote popote ulipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ