Je, unazijua sifa za mtu kuwa mlinzi wa Rais?

Je, unazijua sifa za mtu kuwa mlinzi wa Rais?

ndio ukue sasa,acha mambo ya kitoto,wewe ndie ulie haribu huu uzi.

Ukiona nimeharibu au huwa naharibu uzi wowote humu basi ujue kuwa lengo langu limetimia kama siyo kufanikiwa. Hakuna raha kama kuwatesa watu wazima na kuwasumbua huku ukiwapeleka unapotaka na unavyotaka wewe.
 

Ukiona nimeharibu au huwa naharibu uzi wowote humu basi ujue kuwa lengo langu limetimia kama siyo kufanikiwa. Hakuna raha kama kuwatesa watu wazima na kuwasumbua huku ukiwapeleka unapotaka na unavyotaka wewe.

Ushindwe na ulegee
 
Salaam wakuu,

Kila rais duniani anakuwa na Walinzi wake maarufu kama bodigadi. Kama unakumbuka Gaddafi, yeye alikuwa na mabodigadi wa kike na inasemekana aliweza kutembea na walinzi wasiopungua 200.

Je, unazifahamu ni sifa zipi huhitajika ili kuwa mlinzi wa rais? Ni Mafunzo gani watu hawa muhimu huyapitia? Unajua ni kwa nini wengi wa walinzi hawa ni wa Jinsia ya kiume?

Yan nimefungua kwa hamu zote kumbe na ww hujui
 
nifah shemeji yangu viuno unamkatia saa ngapi? Wewe muda wote tupo tu online humu jf majukumu yako kama mke wa rafiki yangu mr. desh desh unayafanya saa ngapi? Yaani wewe nahisi hata akiwa anakushughulikia mawazo yako yote yapo jf. Hebu lala sasa tafadhali ebo! Mimi sipo dar huko kwenu sasa ni mwaka wa 2 na ya huko mengi siyajui zaidi tu ya kuyajua ya hapa mkoani kwangu cyagungu nchini Rwanda. Hivi na Tanzania nanyi mna usalama wa taifa? Mimi nilijua mna jeshi tu peke yake na wale mgambo wa jiji. au mmetuiga sisi wanyarwanda?

Dah kumbe uko rwanda,nimetoka huko juzi ijumaa gisenyi ndo kwa bibi yangu
 
Danh watu wana biti bhana. . . . .. Ukiweka petrol anaweza kuipa biti mpaka ikalipuka!!!!
 
Kuna mdau kaelezea vzr hasa kuhusu system ya kumlinda rais kupitia mfumo wa "cycle", kifupi the more u penetrate the cycle ndo more unakutana na majabari. Kumfikia rais in attacks ni kukikaribia kifo. Yes, u may kill the presdent hasa kupitia snipers hasa kwa uzembe fulani, au hata kwa poison but believe me, u will never survive longer na soon utakuwa detected then utapotea

Daaanh uko vizuri mkuu. . . . .Kwa hiyo hizo circles zina majukumu gani kuanzia ya nje mpaka ya ndani kabisa, nani anawapanga, nani anatoa amri wakiwa hapo kwa circles??!!!
 
Daaanh uko vizuri mkuu. . . . .Kwa hiyo hizo circles zina majukumu gani kuanzia ya nje mpaka ya ndani kabisa, nani anawapanga, nani anatoa amri wakiwa hapo kwa circles??!!!

Hata mie sijui aisee. Mi huwa naangalia tuuu sijui lolote
 
JAmani ee tuwe tunajielewa wakati mwingine, sasa unaanzisha heading kubwa kumbe pointless kama ni swali onyesha tokea mwanzo ili tujue sio unakuwa kama unatujuza kumbe ndani unauliza swali
 
Humu ndani bora uwe msomaji zaidi kuliko mchangiaji zaidi,changia kitu ulicho na uhakika nacho,nimesoma Uzi wote,shukrani kwa waliochangia.
 
kitu kingine ndugu tang'ana kazi hii huipati kwa kuitaka mpaka wao wakutake wenyewe.
....aidha ukiwa chuo, jkt, vyuo vya ufundi, etc au kwenye gym flan wale trainers au afisa anaweza kukuona uko na vitu flan amazing then aka ku sport ( kukupendekeza)
...baada ya hapo utafanyiwa uchunguz wako na familia yako na rafik zako
...wakijiridhisha uko vizur wanakuchukua na kukupa mafunzo
.

wakiona huwafai bas unabaki
unaweza bahatika kupitia stage zote but mwishon ukawa na dosar ndogo tu ukaachwa
...
hivyo ni bahati na mpango wa mungu
...unles una ndugu ambae ni kigogo kwenye idara unaweza mwambia nataka kisha akakufanyia mpango


...ni hayo tu

...ngoja nikapike
tutaonana ktk majukwaa mengine naomba niishie hapa kwenye mada hii.

shukrani sana umenisaidia sana baadhi yalikuwa yananitatiza.
 
Last edited by a moderator:
uwe na uwezo wa kutafsiri ndoto kama yusufu wa biblia
 
Watu kwa kujifanya watu wa system, pumbavu wote, mnabana nyuma ya keyboard mnajifanya usalama utakuta wengine propaganda wa lumumba. Swine
 
Soma comments za wataalamu, ilishaelezwa na inaendelea kuelezwa vzr

ntazipitia ila kwasasa naangalia kwanza bonge moja la series linaitwa jumong (kama lilivo jina lako) episode 4. ntarudi
 
ntazipitia ila kwasasa naangalia kwanza bonge moja la series linaitwa jumong (kama lilivo jina lako) episode 4. ntarudi
Duuuuh!Ndio unaiangalia?Long time sana hiyo,sasa mimi naangalia The return of Iljimae.
Ila Jumong ni bonge la series..
Na ubobezi wangu wote kwenye Korean series hiyo ndiyo the best series ever!
 
ntazipitia ila kwasasa naangalia kwanza bonge moja la series linaitwa jumong (kama lilivo jina lako) episode 4. ntarudi

Ukiimaliza tafuta series ya The Land of Wind in muendelezo was Jumong
 
Back
Top Bottom