Je, unazijua sifa za mtu kuwa mlinzi wa Rais?

Je, unazijua sifa za mtu kuwa mlinzi wa Rais?

Duuuuh!Ndio unaiangalia?Long time sana hiyo,sasa mimi naangalia The return of Iljimae.
Ila Jumong ni bonge la series..
Na ubobezi wangu wote kwenye Korean series hiyo ndiyo the best series ever!

Series ingine nzuri ya kikorea ni Iris. Ka hujaicheki itafute
 
Hii mada poa sana
Nakumbuka Barack Obama alivyokuja Tzn mie nilikuwa form4
Sasa tulichukuliwa kama wanafunzi wakwenda kumpokea Obama ikulu kule
Mie nikawa nime_concentrate kweny wale walinzi tuu (FBI) mwanzo mwishoooo

Ebwanaee wale ni viumbe makini sana
Nilimface mmoja wa FBI machoni nikaona kama macho yanafanana na camera
Mwingine ameganda sijui anaangalia nini? Ni sehemu moja tuu kabezi
Mwingine alikuwa mikono ya watu tuu muda wote, yaani ukimsalimia mkono Barack Obama hata sekunde tatu hazifiki kashakutoa mkono

Aisee nikajikuta najiita FBI ghafla, nikaipenda mikakati yao
Alafu cha kushangaza mwenyewe Barack Obama hata hana wasiwasi, aladansidansi, alichekacheka, ameenda hapa karudi pale....


Kingine narudi home nacheki taarifa ya habari ITV aisee nilichokionaaaa...
Dooooh barabara ya nyerere road ya airport RAIA wa kitanzania walitanda kando ya barabara kuangalia msafara wa Barack Obama kibaoooooo

Msafara ulikuwa sio wa kawaida aisee

Msafara wa Barack Obama ukiwa on motion kuna kitu kilianguka nazani ni kijani au kitakataka , ebwanaee FBI aliruka kutoka kwenye gari na kwenda kuangalia kunani kimetokea kumbe ni jani aisee (nenda YouTube andika msafara wa Barack Obama) utaona Sam mahela anavyotangaza hako katukio cha kijani..

Hawa ni viumbe wa high concentration
High skill
Physical fit
Educated
Scientists

Hata bongo nao wapo fiti asikwambie mtu
Mie nawachoraga sana aisee
Wameeenda hewani
Seriousness
Haloooo....
 
Dagaa.jpg
mambo ya M/bay hayo
 
Awe amepitia mafunzo ya jeshi,bila kusahau yale ya special force.
awe timamu wa mwili,angalau na style zaidi ya moja za martial arts.
mwenye akili za kiinteligencia.
ngoja nikagoogle tena.
 
  • High Concetration Level
  • Intelligent
  • Versatile
  • Maximum Endurance Level
  • Educated Enough i.e. All Rounder / Knowledgeable Enough
  • Physically Fit
  • Loyalist

Hupata MAFUNZO Sawa Sawa Na Ya Special Force Namaanisha Commando Kisha Mbeleni Hugawanywa Na Kufanya VIP Protection Course Ambayo Na Yenyewe Ina STEPS Zake ( Ambazo Kimaadili Ya Fani Husika Nachelea Kuyaweka Hapa ) Na Kwanini Walinzi Wengi Ni Jinsia Ya KIUME Jibu Haliko Mbali Sana Na Uhalisia Wa Kimaumbile Na Baiolojia Ya Dada Zetu Na Sisi Wanaume Na Mara Nyingi Sana Mabodyguard Wengi Wa Kike Huwa Wanakuwa Wamesha Sacrifice Hata Kuja Kupata Watoto Hapo Baadae Kwani Kwa Aina Ya MAZOEZI Na UGUMU Wake Automatically Mayai Yao HUTOWEKA Na Hujikuta Pia Wana Adopt Tabia Za UGUMU, Maisha Na Uhalisia Wa Mwanaume Na Kuna Wakati Wanaweza Wakawa Wamekaa Na Ma Bodyguard Wa KIUME Lakini Ukiwaona Kama Huna UZOEFU Nao Ukashindwa Kuwatofautisha Kujua Mwanaume Pale Ni Yupi Na Mwanamke Ni Yupi. Mfano Mdogo Tu Angalia au Tafuta Picha Za Yule Dada Aliyekuwa MLINZI Wa Mke Wa Mkapa Halafu Chukua Na Picha Ya Yule Aliyekuwa ADC Wa Mkapa Afande Mzee Emanuel Simule Kisha Walinganishe Utaelewa Nilichokifafanua Hapa. Nadhani Kidogo Nimejaribu Kukujibu Na Ngoja Niwapishe Sasa Wenyewe WAKUJUZE Zaidi.
Safi mkuu
 
Ame ameshawahi kulinda maduka ya wakinga na wachaga kwa kipisi cha nondo kwa zaidi ya miaka 10 bila kupata muda wa kupumzika
 
hata ukiwa mwanajeshi wa nyota..utapochaguliwa kujiunga na kazi ya security ni lazima ufundishwe upyaaaaaaaa na utaanza na basic course so uanajeshi sio kigezo kabsaaaaaaa.
Kwa iyo General David Petraeus alivoteuliwa na Obama kuwa mkurugenzi wa cia alianza upya mafunzo?
 
Back
Top Bottom