Je, unazijua sifa za mtu kuwa mlinzi wa Rais?

Je, unazijua sifa za mtu kuwa mlinzi wa Rais?

Yeah nifah napenda utani kuliko kitu chochote duniani. Upo poa lakini? Haya pumzika sasa ukiweke sawa kinaniliu mzee alime shamba.

Hahahaaaaa popoma wewe kila wakati unawaza mambo hayohayo tu.
Sio kila mtu anawaza kama wewe.
 
Last edited by a moderator:
basi niunganishe mtu yeyote wa system nimuoe hahaha

Huo mtihani sasa mkuu....
Muombe huyo La Brujita kama uko serious maana anaonekana kuwa na ukaribu na hao watu wa idarani.
 
Last edited by a moderator:
AVATAR yako na jinsi ulivyojibu umejidhihirisha who r u!!! , msalimie huyo mama CHAUDELE mwambie kahawa chungu bila kashata hainogi.

Ha ha haaaa, watu wa usalama wapo kwa ajili ya ujenzi wa nchi. Acha woga, zote ni kazi tu sema majukumu yanatofautiana. Mie si mmoja wao, ni just a commoner bro
 
Ha ha haaaa, watu wa usalama wapo kwa ajili ya ujenzi wa nchi. Acha woga, zote ni kazi tu sema majukumu yanatofautiana. Mie si mmoja wao, ni just a commoner bro
au ndio wale wakina wannabe?
 
yap , at least now you've unleash ur self , good boy!!!!.
 
Huo mtihani sasa mkuu....
Muombe huyo La Brujita kama uko serious maana anaonekana kuwa na ukaribu na hao watu wa idarani.

Nina ukaribu sana na wa Rwanda na Uganda ila wa hapa kwenu Tanzania nawasikia tu kupitia watu wa vijiweni huku wengine nikiishia kuwaona tu ktk picha hivyo nifah acha kumpa maelekezo huyo jamaa aje kwangu badala yake afanye tu utaratibu wa kuonana na hao wahusika wenyewe na bahati nzuri humu humu pia wamo na wanamwona hivyo asipate taabu watamtafuta tu. Karibu kwetu huku mkoani cyagungu nchini Rwanda unywe maziwa na asali.
 
Last edited by a moderator:
Nina ukaribu sana na wa Rwanda na Uganda ila wa hapa kwenu Tanzania nawasikia tu kupitia watu wa vijiweni huku wengine nikiishia kuwaona tu ktk picha hivyo nifah acha kumpa maelekezo huyo jamaa aje kwangu badala yake afanye tu utaratibu wa kuonana na hao wahusika wenyewe na bahati nzuri humu humu pia wamo na wanamwona hivyo asipate taabu watamtafuta tu. Karibu kwetu huku mkoani cyagungu nchini Rwanda unywe maziwa na asali.

Unamdanganya nani sasa? Msaidie mwenzio bwana anataka mchuchu kutoka idarani huko.
Hata mfanyie mpango huko pm basi.
 
Last edited by a moderator:
Unamdanganya nani sasa? Msaidie mwenzio bwana anataka mchuchu kutoka idarani huko.
Hata mfanyie mpango huko pm basi.
nifah shemeji yangu viuno unamkatia saa ngapi? Wewe muda wote tupo tu online humu jf majukumu yako kama mke wa rafiki yangu mr. desh desh unayafanya saa ngapi? Yaani wewe nahisi hata akiwa anakushughulikia mawazo yako yote yapo jf. Hebu lala sasa tafadhali ebo! Mimi sipo dar huko kwenu sasa ni mwaka wa 2 na ya huko mengi siyajui zaidi tu ya kuyajua ya hapa mkoani kwangu cyagungu nchini Rwanda. Hivi na Tanzania nanyi mna usalama wa taifa? Mimi nilijua mna jeshi tu peke yake na wale mgambo wa jiji. au mmetuiga sisi wanyarwanda?
 
nifah shemeji yangu viuno unamkatia saa ngapi? Wewe muda wote tupo tu online humu jf majukumu yako kama mke wa rafiki yangu mr. desh desh unayafanya saa ngapi? Yaani wewe nahisi hata akiwa anakushughulikia mawazo yako yote yapo jf. Hebu lala sasa tafadhali ebo! Mimi sipo dar huko kwenu sasa ni mwaka wa 2 na ya huko mengi siyajui zaidi tu ya kuyajua ya hapa mkoani kwangu cyagungu nchini Rwanda. Hivi na Tanzania nanyi mna usalama wa taifa? Mimi nilijua mna jeshi tu peke yake na wale mgambo wa jiji. au mmetuiga sisi wanyarwanda?

Wewe chizi hukawii kuchafua hali ya hewa, ngoja tu nikuache maana. ..
Unawezana na haohao akina kadoda na Mussolin5.
 
Huu uzi ulianza vizuri,matokeo yake watu wameuharibu.
 
Kuna wale tunaojua kuwa makomandoo kama Seal Team 6 wa US ndo bora na wanafaa kuwa walinzi wa watu muhimu kama marais. Je, wajua kama kuna well trained militants zaid ya Seal team?
 
Kuna mdau kaelezea vzr hasa kuhusu system ya kumlinda rais kupitia mfumo wa "cycle", kifupi the more u penetrate the cycle ndo more unakutana na majabari. Kumfikia rais in attacks ni kukikaribia kifo. Yes, u may kill the presdent hasa kupitia snipers hasa kwa uzembe fulani, au hata kwa poison but believe me, u will never survive longer na soon utakuwa detected then utapotea
 
Unajua maana ya visible and invisible soldiers or bodyguards? ha ha haaaa, I like invisible ones kwani wanaoperate like ghosts. Kifupi, marais wanapewa ulinzi madhubuti sana, dont dare try invading them
 
Back
Top Bottom