GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi zipi nifah?
Ila kaka kibinadamu picha za mkewe usiweke bwana...pls!
Pambaneni nyie wawili tu.
Kama vipi hizo picha ututumie kimyakimya pm na sio hapa hadharani itakua sio vizuri.
Na kwakuwa ameshasema kuwa anajua kila kitu mimi namruhusu kuwapeni ukweli wote hata kupitia simu zenu au ktk pm na mimi pia namwomba Mussolin5 anipe ruhusa yake na mimi nifanye usambazaji wa matukio ya mkewe ktk mitandao ili twende sawa.
Ila kaka kibinadamu picha za mkewe usiweke bwana...pls!
Pambaneni nyie wawili tu.
Kama vipi hizo picha ututumie kimyakimya pm na sio hapa hadharani itakua sio vizuri.
Na kwakuwa ameshasema kuwa anajua kila kitu mimi namruhusu kuwapeni ukweli wote hata kupitia simu zenu au ktk pm na mimi pia namwomba Mussolin5 anipe ruhusa yake na mimi nifanye usambazaji wa matukio ya mkewe ktk mitandao ili twende sawa.
Namruhusu afanye vyovyote awezavyo.
Ukiona nimekuamini ujue nimejiamini zaidi kwanza.
Eeh bwana eeh!Namruhusu afanye vyovyote awezavyo.
Ukiona nimekuamini ujue nimejiamini zaidi kwanza.
Nasubiri rukhsa yake. Nataka tupime nani amefuzu na hajapoteza hela ya watanzania.
Nimekupa Go Agead dogo, anza kazi kama kweli unaweza, ukishindwa piga kimya, subiria Id ya GENTAMYCINE irudi nianze warm up yangu!
AVATAR yako na jinsi ulivyojibu umejidhihirisha who r u!!! , msalimie huyo mama CHAUDELE mwambie kahawa chungu bila kashata hainogi.Ha ha haaaaa, umetumia vigezo gani kusema mie ni mtu wa huko huko? Mi ni mnywa kahawa tu wa Kwa mama Chaudele, sina lolote
Salaam wakuu,
Kila rais duniani anakuwa na Walinzi wake maarufu kama bodigadi. Kama unakumbuka Gaddafi, yeye alikuwa na mabodigadi wa kike na inasemekana aliweza kutembea na walinzi wasiopungua 200.
Je, unazifahamu ni sifa zipi huhitajika ili kuwa mlinzi wa rais? Ni Mafunzo gani watu hawa muhimu huyapitia? Unajua ni kwa nini wengi wa walinzi hawa ni wa Jinsia ya kiume?
Ila hii vita iishie kwenye mtandao tu isiendee in real life maana sitaki kusikia mmoja kati yenu kapotea kwenye mazingira ya kutatanisha...nawapenda na ninawakubali sana.Pia kwa maelezo yenu inaonekana mmoja ana familia, kuweni makini, msichukulie serious sana. Mussolin5 La Brujita
Ngoja amalizane na mkewe kwanza " chakula cha bosi " kisha atarudi kwani hakutegemea kuwa humu humu jf kuna mtu angekuwa anamjua a to z na bahati mbaya dada nifah huyu jamaa hazipiti siku 2 au 3 lazima nitakutana nae na hadi kwake naenda ila humu jf nimemchanganya na sasa haamini na ktk watu wake anaopenda sana kuwa nao karibu nadhani mimi naweza nikawa namba moja au mbili na kama akibisha mwambie alianzishe kama alivyosema na wala asisubiri sijui mpaka id gani ifunguliwe na kwakuwa ameshasema humu kuwa mwenye id's zote mbili hizi ni za mtu mmoja hana haja ya kusubiri na badala yake aanzishe mziki kisha mimi nimwage ----- kisha members humu wajionee na washuhudie.
Ndugu unatisha!! , unaogopesha!! , wewe hufai hata kukaribiwa ,inabidi ufungue tuition ihusuyo masuala haya , utupe vi ideas na viji concepts vya mambo hayo ili nasi tukikaa uswazi tujifanye tuko !!!!!Unataka Kujua Masuala Ya Ulinzi Wa Rais Wako Nenda Pale Makumbusho Kitengo Cha PSU Na Omba Kufanya Appointment Na Mkuu Wa PSU Mzee MASHIBA Na Atakupa Taratibu Zote au Ukishindwa Sana Siku Jipange Uende Chuoni Mbweni Ukaonane Na Principal Wa Chuo Chao Na ALIYETUKUKA Afande George Wandiba Kisha Utayapata Yote Hayo Kwani Yeye Ndiye MKUFUNZI Mkuu Wa Wana PSU. Usipotoshwe Na Wengine Humu MAPOPOMA Watupu Wanaotaka Kupata KIKI Kujifanya Wanaijua KULIKO PSU Na TISS Wakati Kumbe Ni Walinzi Tu Pale Getini Makumbusho. Kama Huu Ushauri Wangu Utaona Unakufaa Uchukue Ila Kama Utaona Haukufai Niachie Tu Mwenyewe. Jumapili Njema!
Nasubiri ulianzishe kama ulivyowaaminisha humu watu kisha nimalize kazi. Sifa yangu kubwa ni kujiamini, kutoogopwa na kutishika kwa lolote na chochote kile. Anza kisha nitamaliza.
Ndugu unatisha!! , unaogopesha!! , wewe hufai hata kukaribiwa ,inabidi ufungue tuition ihusuyo masuala haya , utupe vi ideas na viji concepts vya mambo hayo ili nasi tukikaa uswazi tujifanye tuko !!!!!