Je, unazijua sifa za mtu kuwa mlinzi wa Rais?

Je, unazijua sifa za mtu kuwa mlinzi wa Rais?

Ila kaka kibinadamu picha za mkewe usiweke bwana...pls!
Pambaneni nyie wawili tu.
Kama vipi hizo picha ututumie kimyakimya pm na sio hapa hadharani itakua sio vizuri.




Namruhusu afanye vyovyote awezavyo.

Ukiona nimekuamini ujue nimejiamini zaidi kwanza.
 
Na kwakuwa ameshasema kuwa anajua kila kitu mimi namruhusu kuwapeni ukweli wote hata kupitia simu zenu au ktk pm na mimi pia namwomba Mussolin5 anipe ruhusa yake na mimi nifanye usambazaji wa matukio ya mkewe ktk mitandao ili twende sawa.

Naam, there you are La Brujita. ..hizo picha tumeni kupitia pm's au WhatsApp kwa wenye namba zenu na sio hapa jukwaani.
 
Last edited by a moderator:
Ila kaka kibinadamu picha za mkewe usiweke bwana...pls!
Pambaneni nyie wawili tu.
Kama vipi hizo picha ututumie kimyakimya pm na sio hapa hadharani itakua sio vizuri.

Nasubiri rukhsa yake. Nataka tupime nani amefuzu na hajapoteza hela ya watanzania.
 
Na kwakuwa ameshasema kuwa anajua kila kitu mimi namruhusu kuwapeni ukweli wote hata kupitia simu zenu au ktk pm na mimi pia namwomba Mussolin5 anipe ruhusa yake na mimi nifanye usambazaji wa matukio ya mkewe ktk mitandao ili twende sawa.



Nimekupa Go Ahead dogo, anza kazi kama kweli unaweza, ukishindwa piga kimya, subiria Id ya GENTAMYCINE irudi nianze warm up yangu!
 
Last edited by a moderator:
Namruhusu afanye vyovyote awezavyo.

Ukiona nimekuamini ujue nimejiamini zaidi kwanza.

Nasubiri ulianzishe kama ulivyowaaminisha humu watu kisha nimalize kazi. Sifa yangu kubwa ni kujiamini, kutoogopwa na kutishika kwa lolote na chochote kile. Anza kisha nitamaliza.
 
Uwiiiiiii! Hii siku haijawahi kutokea tokea nijiunge JF.Ligi nyingine ni za kitoto tu, hii ya leo ni SHOW YA KIBABE
Wapi Jambazi na Super Handsome?
 
Last edited by a moderator:
Nimekupa Go Agead dogo, anza kazi kama kweli unaweza, ukishindwa piga kimya, subiria Id ya GENTAMYCINE irudi nianze warm up yangu!

Huna hata haja ya kusubiri mpaka id hiyo irudi hewani na badala yake kwakuwa umeshasema kuwa hata mwenye id hii ni mtu huyo huyo hivyo si vibaya pia ukaweka mambo yote hadharani. Desturi ya mtutsi huwa haanzishi ugomvi bali anasubiri achokozwe kisha ndipo amalize kazi.
 
Ha ha haaaaa, umetumia vigezo gani kusema mie ni mtu wa huko huko? Mi ni mnywa kahawa tu wa Kwa mama Chaudele, sina lolote
AVATAR yako na jinsi ulivyojibu umejidhihirisha who r u!!! , msalimie huyo mama CHAUDELE mwambie kahawa chungu bila kashata hainogi.
 
Ila hii vita iishie kwenye mtandao tu isiendee in real life maana sitaki kusikia mmoja kati yenu kapotea kwenye mazingira ya kutatanisha...nawapenda na ninawakubali sana.Pia kwa maelezo yenu inaonekana mmoja ana familia, kuweni makini, msichukulie serious sana. Mussolin5 La Brujita
 
Last edited by a moderator:
Mbona unatoa habari nusunusu!

Salaam wakuu,

Kila rais duniani anakuwa na Walinzi wake maarufu kama bodigadi. Kama unakumbuka Gaddafi, yeye alikuwa na mabodigadi wa kike na inasemekana aliweza kutembea na walinzi wasiopungua 200.

Je, unazifahamu ni sifa zipi huhitajika ili kuwa mlinzi wa rais? Ni Mafunzo gani watu hawa muhimu huyapitia? Unajua ni kwa nini wengi wa walinzi hawa ni wa Jinsia ya kiume?
 
Ila hii vita iishie kwenye mtandao tu isiendee in real life maana sitaki kusikia mmoja kati yenu kapotea kwenye mazingira ya kutatanisha...nawapenda na ninawakubali sana.Pia kwa maelezo yenu inaonekana mmoja ana familia, kuweni makini, msichukulie serious sana. Mussolin5 La Brujita

Ngoja amalizane na mkewe kwanza " chakula cha bosi " kisha atarudi kwani hakutegemea kuwa humu humu jf kuna mtu angekuwa anamjua a to z na bahati mbaya dada nifah huyu jamaa hazipiti siku 2 au 3 lazima nitakutana nae na hadi kwake naenda ila humu jf nimemchanganya na sasa haamini na ktk watu wake anaopenda sana kuwa nao karibu nadhani mimi naweza nikawa namba moja au mbili na kama akibisha mwambie alianzishe kama alivyosema na wala asisubiri sijui mpaka id gani ifunguliwe na kwakuwa ameshasema humu kuwa mwenye id's zote mbili hizi ni za mtu mmoja hana haja ya kusubiri na badala yake aanzishe mziki kisha mimi nimwage ----- kisha members humu wajionee na washuhudie.
 
Last edited by a moderator:
Ngoja amalizane na mkewe kwanza " chakula cha bosi " kisha atarudi kwani hakutegemea kuwa humu humu jf kuna mtu angekuwa anamjua a to z na bahati mbaya dada nifah huyu jamaa hazipiti siku 2 au 3 lazima nitakutana nae na hadi kwake naenda ila humu jf nimemchanganya na sasa haamini na ktk watu wake anaopenda sana kuwa nao karibu nadhani mimi naweza nikawa namba moja au mbili na kama akibisha mwambie alianzishe kama alivyosema na wala asisubiri sijui mpaka id gani ifunguliwe na kwakuwa ameshasema humu kuwa mwenye id's zote mbili hizi ni za mtu mmoja hana haja ya kusubiri na badala yake aanzishe mziki kisha mimi nimwage ----- kisha members humu wajionee na washuhudie.

Eeh bwana eeh! Hata ndio mambo ya fake id's yanavyofanya kazi.
Unawez gombana na mtu humu kumbe ni mtu wako wa karibu.
Uzuri muwe hamjuani, ila hata mmoja akimjua mwenzie ndio inaleta shida kama hivi.
Mie nina hiyana basi? Nasubiria movie tu hapa.
 
Last edited by a moderator:
Unataka Kujua Masuala Ya Ulinzi Wa Rais Wako Nenda Pale Makumbusho Kitengo Cha PSU Na Omba Kufanya Appointment Na Mkuu Wa PSU Mzee MASHIBA Na Atakupa Taratibu Zote au Ukishindwa Sana Siku Jipange Uende Chuoni Mbweni Ukaonane Na Principal Wa Chuo Chao Na ALIYETUKUKA Afande George Wandiba Kisha Utayapata Yote Hayo Kwani Yeye Ndiye MKUFUNZI Mkuu Wa Wana PSU. Usipotoshwe Na Wengine Humu MAPOPOMA Watupu Wanaotaka Kupata KIKI Kujifanya Wanaijua KULIKO PSU Na TISS Wakati Kumbe Ni Walinzi Tu Pale Getini Makumbusho. Kama Huu Ushauri Wangu Utaona Unakufaa Uchukue Ila Kama Utaona Haukufai Niachie Tu Mwenyewe. Jumapili Njema!
Ndugu unatisha!! , unaogopesha!! , wewe hufai hata kukaribiwa ,inabidi ufungue tuition ihusuyo masuala haya , utupe vi ideas na viji concepts vya mambo hayo ili nasi tukikaa uswazi tujifanye tuko !!!!!
 
i see...

vijana kwa vitu msivyovifahamu msijifanye mnavijua na kuanza kupotosha watu...
 
Nasubiri ulianzishe kama ulivyowaaminisha humu watu kisha nimalize kazi. Sifa yangu kubwa ni kujiamini, kutoogopwa na kutishika kwa lolote na chochote kile. Anza kisha nitamaliza.

genta nimegundua kitu kuhusu wewe,you cant engage in a psychological warfare.yaani Mussolin5 kakutisha kidogo tu,nawe umetishika kweli.you're a coward cos you don't sound like a taught guy.ujasiri wako wa kurusha maneno/matusi unakuwa nao zaidi pale unapo kuwa nyuma ya keyboard kwa kutumia ID fake.nje hapo ni kama samaki nchi kavu.kwa mfano,mimi huwa siogopi kufahamika hapa JF.account yangu ya facebook ipo accessible kwa yeyote anaye taka kunifahamu.hii HAPA.
 
Back
Top Bottom