Je, unazijua sifa za mtu kuwa mlinzi wa Rais?

Je, unazijua sifa za mtu kuwa mlinzi wa Rais?

Eeh bwana eeh! Hata ndio mambo ya fake id's yanavyofanya kazi.
Unawez gombana na mtu humu kumbe ni mtu wako wa karibu.
Uzuri muwe hamjuani, ila hata mmoja akimjua mwenzie ndio inaleta shida kama hivi.
Mie nina hiyana basi? Nasubiria movie tu hapa.

Nimependa sana sentensi yako hii " unaweza gombana na mtu humu kumbe ni mtu wako wa karibu ". Nilitumia nguvu nyingi sana kumtega kwa mitego yangu yote ili nijue jf huwa yupo na kama yupo huwa anatumia id gani humu na labda tu kwa faida yako nilimjua muda mrefu tu ila kwakuwa ni mshkaji wangu sikutaka kumuharibia na leo kwa kutaka sifa anataka kuchukulia umaarufu kupitia kwangu na mbaya zaidi alipogonga ni pabaya na mwambieni pia kuwa asikariri tu id moja mbili tatu humu watu wanazo hadi id's 13 na zingine huwa zinakuwa wazi kusapoti na kuponda huku zikifanya kazi kubwa ya propaganda na spin doctoring. Akajifunze upya kozi kwani hakufuzu vizuri.
 
bora teacher umekuja.kuna kijana hapa anadanganya sana watu.


wapo vijana wa aina yake na wenye malengo waliyotumwa kuja kuyakamilisha ..wengine waliingia nchini na kujisajili KIU kama wanafunzi waligundulika na wenzo wengine walikuwa na saloon moja hivi kwa lengo maalumu...mwenzao mmoja ilibiti apatiwe truth serum na baada ya hapo aliweza kusema kila kitu....huyu mchangiaji humu ni mkurupukaji asiyejiamini wala kuwa na taarifa sahihi
 
genta nimegundua kitu kuhusu wewe,you cant engage in a psychological warfare.yaani Mussolin5 kakutisha kidogo tu,nawe umetishika kweli.you're a coward cos you don't sound like a taught guy.ujasiri wako wa kurusha maneno/matusi unakuwa nao zaidi pale unapo kuwa nyuma ya keyboard kwa kutumia ID fake.nje hapo ni kama samaki nchi kavu.kwa mfano,mimi huwa siogopi kufahamika hapa JF.account yangu ya facebook ipo accessible kwa yeyote anaye taka kunifahamu.hii HAPA.
Ama kweli usilolijua ni kama usiku wa giza mwenzio ana kudrain wewe hujijui , huyo nifah ninamashaka nae alikuwa anajaribu kukulead akuone funguka amka ,jasiri wangu!!!.
 
genta nimegundua kitu kuhusu wewe,you cant engage in a psychological warfare.yaani Mussolin5 kakutisha kidogo tu,nawe umetishika kweli.you're a coward cos you don't sound like a taught guy.ujasiri wako wa kurusha maneno/matusi unakuwa nao zaidi pale unapo kuwa nyuma ya keyboard kwa kutumia ID fake.nje hapo ni kama samaki nchi kavu.kwa mfano,mimi huwa siogopi kufahamika hapa JF.account yangu ya facebook ipo accessible kwa yeyote anaye taka kunifahamu.hii HAPA.



[FONT=book antiqua [USER=26805]kadoda[/USER] hivi unajua wewe ninavyokuheshimu na kukubali humu jf? Hivi unakumbuka kuna siku moja tulicharurana humu na ukanipiga madongo ya haja hadi nikaishia tu kucheka na baadae tukayasahau na sasa ni pals wakubwa tu humu jf japo hatujuani? Huyo kubwa jinga hakuja kwangu kwa matani au masihara na badala yake alidhani angepata sifa humu na kibaya zaidi akakosea kuwa mimi namjua a to z ila yeye nina uhakika hanijui 100% na kuna siku nilimtega humu kwa utundu wangu ambao naamini wewe unaujua na jamaa akaingia mkenge hadi tukapeana namba na mimi nikampa namba ya mtu niliyeokota tu chip mahala lakini lenyewe likanipa namba yake ambayo hata sasa ipo hewani na naendelea tu kumsanifu. Mbona wewe huwa tunacharurana humu na muda mwingine hadi huwa nawatajeni wote ikiwa ni katika hali tu ya kunogesha genge muda uende. Usinilaumu mimi na mlaumu yeye na tena mwambie ashike adabu zake. Kama anataka utani wetu wa kama nyuma namkaribisha tuuendeleze ila kama anataa bifu na mtafutano ataomba po mwenyewe na sina desturi ya kutishwa na masuala ya mtandaoni. Kama kumchukia mtu humu basi ningekuchukia wewe kadoda11 kwa umbwigiri wako ila ikipita siku sijakuchokoza humu huwa sisikii raha akiwepo pia na mbwigiri mwingine dada nifah ambaye ujanja wote kumbe ni mpinzani na siyo mtu wa kijani na njano.[/FONT]
 
Last edited by a moderator:
wapo vijana wa aina yake na wenye malengo waliyotumwa kuja kuyakamilisha ..wengine waliingia nchini na kujisajili KIU kama wanafunzi waligundulika na wenzo wengine walikuwa na saloon moja hivi kwa lengo maalumu...mwenzao mmoja ilibiti apatiwe truth serum na baada ya hapo aliweza kusema kila kitu....huyu mchangiaji humu ni mkurupukaji asiyejiamini wala kuwa na taarifa sahihi
naona imebidi usitishe majukumu yako muhimu uje uweke hali sawa.maana bila hivyo tukiacha huu upotoshaji uendelee humu ndani,huyu kijana atapotosha wengi.
 
Nimependa sana sentensi yako hii " unaweza gombana na mtu humu kumbe ni mtu wako wa karibu ". Nilitumia nguvu nyingi sana kumtega kwa mitego yangu yote ili nijue jf huwa yupo na kama yupo huwa anatumia id gani humu na labda tu kwa faida yako nilimjua muda mrefu tu ila kwakuwa ni mshkaji wangu sikutaka kumuharibia na leo kwa kutaka sifa anataka kuchukulia umaarufu kupitia kwangu na mbaya zaidi alipogonga ni pabaya na mwambieni pia kuwa asikariri tu id moja mbili tatu humu watu wanazo hadi id's 13 na zingine huwa zinakuwa wazi kusapoti na kuponda huku zikifanya kazi kubwa ya propaganda na spin doctoring. Akajifunze upya kozi kwani hakufuzu vizuri.
Ama kweli usilolijua ni kama usiku wa giza mwenzako ana kudrain wewe hujijui , huyo nifah nina mashaka nae anajaaribu kuku lead akuone how deep you know , fungus jasiri wangu.
 
[FONT=book antiqua [USER=26805]kadoda[/USER] hivi unajua wewe ninavyokuheshimu na kukubali humu jf? Hivi unakumbuka kuna siku moja tulicharurana humu na ukanipiga madongo ya haja hadi nikaishia tu kucheka na baadae tukayasahau na sasa ni pals wakubwa tu humu jf japo hatujuani? Huyo kubwa jinga hakuja kwangu kwa matani au masihara na badala yake alidhani angepata sifa humu na kibaya zaidi akakosea kuwa mimi namjua a to z ila yeye nina uhakika hanijui 100% na kuna siku nilimtega humu kwa utundu wangu ambao naamini wewe unaujua na jamaa akaingia mkenge hadi tukapeana namba na mimi nikampa namba ya mtu niliyeokota tu chip mahala lakini lenyewe likanipa namba yake ambayo hata sasa ipo hewani na naendelea tu kumsanifu. Mbona wewe huwa tunacharurana humu na muda mwingine hadi huwa nawatajeni wote ikiwa ni katika hali tu ya kunogesha genge muda uende. Usinilaumu mimi na mlaumu yeye na tena mwambie ashike adabu zake. Kama anataka utani wetu wa kama nyuma namkaribisha tuuendeleze ila kama anataa bifu na mtafutano ataomba po mwenyewe na sina desturi ya kutishwa na masuala ya mtandaoni. Kama kumchukia mtu humu basi ningekuchukia wewe kadoda11 kwa umbwigiri wako ila ikipita siku sijakuchokoza humu huwa sisikii raha akiwepo pia na mbwigiri mwingine dada nifah ambaye ujanja wote kumbe ni mpinzani na siyo mtu wa kijani na njano.[/FONT]

Khaaaaa! Wewe kaka popoma La Brujita wa kuniita mimi mbwigiri kweli?
Mie hua nakukubali sana tatizo ni huo upopoma wako wa kuikumbatia na kuiabudu hiyo CCM. Nachelea kusema kua una maslahi binafsi na hao magamba wenzio.
Ila mwisho wa tambo zako ni mwaka...yangu macho tu.
 
Last edited by a moderator:
Ama kweli usilolijua ni kama usiku wa giza mwenzio ana kudrain wewe hujijui , huyo nifah ninamashaka nae alikuwa anajaribu kukulead akuone funguka amka ,jasiri wangu!!!.
wala wasipoteze/asipoteze/msipoteze nguvu kubwa kutaka kunifahamu,huwa napenda kufahamika na kila member wa JF.ndio maana nikaweka link ambayo atakaye click,itampeleka moja kwa moja kwenye account yangu ya facebook.naiweka tena kwa mara ya pili.HII HAPA.
 
naona imebidi usitishe majukumu yako muhimu uje uweke hali sawa.maana bila hivyo tukiacha huu upotoshaji uendelee humu ndani,huyu kijana atapotosha wengi.

Wewe mbwigiri kadoda11 umetoka lini ziwani rukwa? Hata huyo unayejifanya kumpaisha hapo hana chochote akijuacho ila anataka tu na yeye leo ajulikane. Ninachofurahi ni kwamba kila ninapotaka kuwapelekeni kifikra wote mnaelekea huko yaani hamna tofauti na wale ng'ombe zangu wa kinyankole ambao huwa wanakuwa wengi halafu nikimwongoza tu mmoja basi wote wanafuata. ( Natania tu jamani msiseme nawatusi ). Hivi wewe kadoda11 bila vionjo kama hivi na huu udambwi dambwi humu jf pata noga? kadoda11 kuna uzi mmoja niliuanzisha tu kimzaha jana usiku mkuu najuta yaani nimesemwa, kutukanwa hadi kulaaniwa hebu nakuomba wewe rafiki yangu mubwa humu japo ni " mbwigiri " pamoja na nifah mniombee msamaha a.k.a radhi.
 
Last edited by a moderator:
Khaaaaa! Wewe kaka popoma La Brujita wa kuniita mimi mbwigiri kweli?
Mie hua nakukubali sana tatizo ni huo upopoma wako wa kuikumbatia na kuiabudu hiyo CCM. Nachelea kusema kua una maslahi binafsi na hao magamba wenzio.
Ila mwisho wa tambo zako ni mwaka...yangu macho tu.

nifah kuna uzi mmoja nimeuanzisha kiutani tu na sikujua kama yangekuwa haya ila kwa posts za watu hakika nafsi yangu imenisuta na najisikia vibaya mno na najipanga kuwaomba radhi wote niliowaudhi au kuwakwaza ila kwa kuanzia tu nakuomba wewe na kadoda11 muanze kuniombea msamaha kwa watanzania niliowakwaza humu. Nimeumia sana na najutia nilichokifanya i am so sorry.
 
Last edited by a moderator:
Wewe mbwigiri kadoda11 umetoka lini ziwani rukwa? Hata huyo unayejifanya kumpaisha hapo hana chochote akijuacho ila anataka tu na yeye leo ajulikane. Ninachofurahi ni kwamba kila ninapotaka kuwapelekeni kifikra wote mnaelekea huko yaani hamna tofauti na wale ng'ombe zangu wa kinyankole ambao huwa wanakuwa wengi halafu nikimwongoza tu mmoja basi wote wanafuata. ( Natania tu jamani msiseme nawatusi ). Hivi wewe kadoda11 bila vionjo kama hivi na huu udambwi dambwi humu jf pata noga? kadoda11 kuna uzi mmoja niliuanzisha tu kimzaha jana usiku mkuu najuta yaani nimesemwa, kutukanwa hadi kulaaniwa hebu nakuomba wewe rafiki yangu mubwa humu japo ni " mbwigiri " pamoja na nifah mniombee msamaha a.k.a radhi.
weka link ya huo uzi hapa ili tukapime uzito wa ulicho sababisha mod wakakasirika.
 
nifah kuna uzi mmoja nimeuanzisha kiutani tu na sikujua kama yangekuwa haya ila kwa posts za watu hakika nafsi yangu imenisuta na najisikia vibaya mno na najipanga kuwaomba radhi wote niliowaudhi au kuwakwaza ila kwa kuanzia tu nakuomba wewe na kadoda11 muanze kuniombea msamaha kwa watanzania niliowakwaza humu. Nimeumia sana na najutia nilichokifanya i am so sorry.

Hebu niite kwenye huo uzi nije kukuombea msamaha sasa hivi...
Ila inategemea na kitu gani ulichokisema...
 
Last edited by a moderator:
weka link ya huo uzi hapa ili tukapime uzito wa ulicho sababisha mod wakakasirika.

Na wewe acha umbwigiri. Nimekuambia kuna uzi mmoja nimeuanzisha jana rafiki yangu najuta kwani sikujua kama ningewaudhi watu vile. Ungalie tu utauona ni wa mambo ya siasa zetu hizi za maji taka. Mshikaji najuta.
 
Hebu niite kwenye huo uzi nije kukuombea msamaha sasa hivi...
Ila inategemea na kitu gani ulichokisema...

Sasa na wewe sikuelewi? Unanitia moyo halafu tena unanipiga mkwara! Nikueleweje? Tafuta uzi mmoja wa kuhusu wale waandamanaji wa jana na lowassa na ukawa. Upo tu hapo hebu uchungulie. Najuta nifah na utani wangu umenitokea puani.
 
Last edited by a moderator:
kwa hiyo nifah nayeye ni mtu wa system??

Nifah can i marry you??
Maana natakaga kuoa watu wa system mie
 
Walinzi wa raisi ni wengi na kawaida raisi analindwa kwa cycle. Hii cycle inaweza kubadilika kwa shift. Kwenye hii cycle wapo wanaoonekana public na wasioonekana. Sasa ww kuwa specific unataka sifa za ADC au hawa wengine ?
NB: Ushawahi kusikia ajira ya udereva wa raisi au mpiga picha wa raisi kutangazwa ?
Naishia hapa.

Mkuu nataka kujua all ADC na wengine pia. Please, elezea nijifunze
 
Back
Top Bottom