Je, unazijua sifa za mtu kuwa mlinzi wa Rais?

ndio ukue sasa,acha mambo ya kitoto,wewe ndie ulie haribu huu uzi.

Ukiona nimeharibu au huwa naharibu uzi wowote humu basi ujue kuwa lengo langu limetimia kama siyo kufanikiwa. Hakuna raha kama kuwatesa watu wazima na kuwasumbua huku ukiwapeleka unapotaka na unavyotaka wewe.
 

Ukiona nimeharibu au huwa naharibu uzi wowote humu basi ujue kuwa lengo langu limetimia kama siyo kufanikiwa. Hakuna raha kama kuwatesa watu wazima na kuwasumbua huku ukiwapeleka unapotaka na unavyotaka wewe.

Ushindwe na ulegee
 

Yan nimefungua kwa hamu zote kumbe na ww hujui
 

Dah kumbe uko rwanda,nimetoka huko juzi ijumaa gisenyi ndo kwa bibi yangu
 
Danh watu wana biti bhana. . . . .. Ukiweka petrol anaweza kuipa biti mpaka ikalipuka!!!!
 

Daaanh uko vizuri mkuu. . . . .Kwa hiyo hizo circles zina majukumu gani kuanzia ya nje mpaka ya ndani kabisa, nani anawapanga, nani anatoa amri wakiwa hapo kwa circles??!!!
 
Daaanh uko vizuri mkuu. . . . .Kwa hiyo hizo circles zina majukumu gani kuanzia ya nje mpaka ya ndani kabisa, nani anawapanga, nani anatoa amri wakiwa hapo kwa circles??!!!

Hata mie sijui aisee. Mi huwa naangalia tuuu sijui lolote
 
JAmani ee tuwe tunajielewa wakati mwingine, sasa unaanzisha heading kubwa kumbe pointless kama ni swali onyesha tokea mwanzo ili tujue sio unakuwa kama unatujuza kumbe ndani unauliza swali
 
Humu ndani bora uwe msomaji zaidi kuliko mchangiaji zaidi,changia kitu ulicho na uhakika nacho,nimesoma Uzi wote,shukrani kwa waliochangia.
 

shukrani sana umenisaidia sana baadhi yalikuwa yananitatiza.
 
Last edited by a moderator:
uwe na uwezo wa kutafsiri ndoto kama yusufu wa biblia
 
Watu kwa kujifanya watu wa system, pumbavu wote, mnabana nyuma ya keyboard mnajifanya usalama utakuta wengine propaganda wa lumumba. Swine
 
Soma comments za wataalamu, ilishaelezwa na inaendelea kuelezwa vzr

ntazipitia ila kwasasa naangalia kwanza bonge moja la series linaitwa jumong (kama lilivo jina lako) episode 4. ntarudi
 
ntazipitia ila kwasasa naangalia kwanza bonge moja la series linaitwa jumong (kama lilivo jina lako) episode 4. ntarudi
Duuuuh!Ndio unaiangalia?Long time sana hiyo,sasa mimi naangalia The return of Iljimae.
Ila Jumong ni bonge la series..
Na ubobezi wangu wote kwenye Korean series hiyo ndiyo the best series ever!
 
ntazipitia ila kwasasa naangalia kwanza bonge moja la series linaitwa jumong (kama lilivo jina lako) episode 4. ntarudi

Ukiimaliza tafuta series ya The Land of Wind in muendelezo was Jumong
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…