Je, unazijua sifa za mtu kuwa mlinzi wa Rais?

Hili POPOMA Gentamycine kiasi fulani liko vizuri. Ila tu nauliza kama anajua karate mbona kafumaniwa na kupelekeshwa na mwanamke asiyejua hata kwata namba moja ?

Zile Huwa Ni Story Tu Za Kuchangamsha GENGE Ila Hapa AKILI Zangu Zote ZIMETULIA Na NAJIBU KWA ADABU Zote Na At My Level Best Japo MAUJUZI Yote Hayo NIMEYAPATIA Tu Katika Sinema Zetu Hizi Za KIJASUSI Hivyo MSIJE MKANIHISI Vibaya Bure Kwani HAMKAWII Kuanza KUZUSHA Ya KUZUSHA Hasa POPOMA Wewe SOGHOO.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

sasa kama hujui uliweka ya nini mada hii?
 
Ila jamani duniani kuna watu waongo kipindi kile obama amekuja tanzania wakaanza kusema eti kuna walinzi wengine wanao mlinda obama wametoka sayari nyingine kwasababu hapa duniani hawajahi kuonekana sehemu yoyote na wakasema kuna majamaa wengine wanao mlinda obams wanaongozwa na computer tu wenyewe hawajitambui.
 
sasa kama hujui uliweka ya nini mada hii?

Sasa Bila Kuuliza Angejua Wapi? Swali Lako Ni Sawa Na Kuuliza Tunaenda Shule Kufanya Nini Wakati Tumezaliwa Tuna AKILI Zetu? Kuuliza Si Ujinga Mkuu Japo Nina UHAKIKA ULIOTUKUKA Kuwa Mleta UZI Ni Mtu Wa IDARANI Huko Huko ILA Anatusanifu Tu Lakini Na Sisi MASELA Tumemdhihirishia Kuwa JAPO Tuko Nje Na Ya Huko WALIPO Wao TISS Na PSU Hatuyajui Ila Kwa Ujanja Na Utundu Wetu ULIOTUKUKA Hata Sisi Pia Tunayajuajua Kidogo.
 

Ha ha haaaaa, umetumia vigezo gani kusema mie ni mtu wa huko huko? Mi ni mnywa kahawa tu wa Kwa mama Chaudele, sina lolote
 
oya POPOMA acha kunipa sifa zisiso nihusu,sipo kwenye hicho kitengo na wala sijihusishi na hayo mambo.

fani yangu ni uvuvi kama ninavyo onekana ktk picha.


karibu kwetu ziwa nyasa tuvue dagaa aka "uhipa".
 
oya POPOMA acha kunipa sifa zisiso nihusu,sipo kwenye hicho kitengo na wala sijihusishi na hayo mambo.

fani yangu ni uvuvi kama ninavyo onekana ktk picha.


karibu kwetu ziwa nyasa tuvue dagaa aka "uhipa".



Na Bahati Nzuri Sana Hata Watu Wa Huko IDARANI Kwenu TISS Huku Mitaani Kwetu Wanaitwa " WAVUVI " Hivyo Kwa Kuniwekea Kwako Tu Hiyo Picha Ukiwa UNAVUA Umeshanithibitishia Kuwa Wewe Ni Mwana TISS Kitengo Cha IT. Hongera Sana Mkuu Hebu Nitafutie Basi Na Mimi KIBARUA Huko Hata Cha KUFAGIA Tu au Kupiga DEKI. Nimeipenda Mno Picha Yako Ya Katika Whatssap Profile Yako Na Siku Nyingine Unabadilisha Na Kuweka Picha Ya Mwanao Aliyezaliwa. Nakukubali Mkuu Na Hakika UMEFUZU Katika Fani Yenu Hiyo Ya UJASUSI.
 
Naona unawatafuta migebuka!!!
hapana mkuu,lake nyasa hatuna migebuka,migebuka ni lake tanganyika.sisi huku ni samaki dagaa(uhipa/sipa),mbelele,mbufu,mbasa,masangalafu na aina tele ya samaki wanaopitakana ziwa nyasa ambao mimi binafsi majina yao siyafahamu.

hapa nipo na jamaa zangu wa kule ziwani,tukifurahi pamoja baada ya shughuli nzito ya uvuvi.
 

Naamini Kuwa Hapo Utapata Taarifa Kamili Za KIINTELINJENSIA Kama Siyo Za KIJASUSI Kisha Upeleke Ripoti Kwa Othman au Mombo. Safi Sana Nafurahi Kuona Vijana MKIWAJIBIKA Namna Hii. Nisalimie Mno RSO Wako Hapo Mkoani Ulipo Mkuu. Nilitamani Sana Nikuombe Uniletee Samaki Ila Tatizo Sina FRIJI Na SIJAOA Bado Hivyo Nitawatesa Tu Bure Hao Samaki Japo Watakuja Wakiwa WAMESHAKUFA!
 

eheheh hao uongo walzidi mkuu,hao sayari ingine watakuwa aliens hao ehehe
 
Umenifurahisha kwa namna ulivyotafakari.
 

Asante kwa maelezo yako yamenipa knowledge ambayo sikuwa nayo
 


Mkuu mbavu sina
 
sifa kuu ya kwanza ni kua msiri na hili ndio linafanya mpaka sasa wausika wasichangie
 

Mkuu naomba best five zako za movie za kijasusi
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…