Kilahunja
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 1,500
- 343
You Must Be MENTALLY CHALLENGED.
haa haaa....gat none to add, but am happy cz u av atleast recognise wea u Real belong. Anyong, sir.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You Must Be MENTALLY CHALLENGED.
haa haaa....gat none to add, but am happy cz u av atleast recognise wea u Real belong. Anyong, sir.
hapana mkuu,lake nyasa hatuna migebuka,migebuka ni lake tanganyika.sisi huku ni samaki dagaa(uhipa/sipa),mbelele,mbufu,mbasa,masangalafu na aina tele ya samaki wanaopitakana ziwa nyasa ambao mimi binafsi majina yao siyafahamu.
hapa nipo na jamaa zangu wa kule ziwani,tukifurahi pamoja baada ya shughuli nzito ya uvuvi.
![]()
Very Dunce Indeed!
Mbona Hizo sifa hatuzioni humu ndani saivi mmehama mada
ndugu sifa ni za kawaida tu ambazo wengi wanazo
..uwe umetia mafunzo ya uwt
...utanzania wa kuzaliwa
...uaminifu
...uzalendo
...mwenye kujituma
...uadilifu
..usiwe mropokaji
..no criminal records
..mental n physocal fit
..usiwe mlevi kupindukia
..elim zaman kuanzia la saba but siku hiz form four
..etc etc
so last century ov u...u stil in the middle's 1500...hahaaa "dunce"stil this vocabulary in use...teh teh
chuo chao hapa bongo kiko wapi?
hapana mkuu,wale samaki sio jamii ya dagaa nyasa.wale ni aina nyingine ya samaki wanaopatikana ktk lile ziwa.Hao ndo dagaa sio?Hongera
Swine.
chuo chao hapa bongo kiko wapi?
- ORIGINAL COMEDY
- VUNJA MBAVU
- FUTUHI
- Ze KOMEDY
- BABATAN
ndugu sifa ni za kawaida tu ambazo wengi wanazo
..uwe umetia mafunzo ya uwt
...utanzania wa kuzaliwa
...uaminifu
...uzalendo
...mwenye kujituma
...uadilifu
..usiwe mropokaji
..no criminal records
..mental n physocal fit
..usiwe mlevi kupindukia
..elim zaman kuanzia la saba but siku hiz form four
..etc etc
hapo kwa elimu siku hizi mbona kama huzingatia sana kuanzia division 3 hadi 4/28? mwenye division 4/29 au 4/30-division 4/33 ni kweli hana sifa za kuifanya hiyo kazi?? vipi kuhusu hilo mkuu.
inategemea na uhitaji mfano mtu wa garden hata four failier..ana qualify...
hapana mkuu,lake nyasa hatuna migebuka,migebuka ni lake tanganyika.sisi huku ni samaki dagaa(uhipa/sipa),mbelele,mbufu,mbasa,masangalafu na aina tele ya samaki wanaopitakana ziwa nyasa ambao mimi binafsi majina yao siyafahamu.
hapa nipo na jamaa zangu wa kule ziwani,tukifurahi pamoja baada ya shughuli nzito ya uvuvi.
![]()
tanzania vyuo vipo visiwan na bara...exactly maeneo nisamehe cant mention, but also it depend unaweza pelekwa hata nje katika vyuo rafiki vya hiyo taasisi. walim wapo wengi cz masomo yapo mengi, na ikitokea upo chuo cha nje unafunzwa na walim wa chuo wa nchi husika.