GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
sifa kuu ya kwanza ni kua msiri na hili ndio linafanya mpaka sasa wausika wasichangie
Ingekuwa Ni SIRI Kamwe Wasingekuwa Wanatuambia Na Kuturopokea Wanayoyafanya Humo Ofisini Kwao Makumbusho, Oysterbay, Kinondoni Makaburini, Stesheni Na Ubungo Maji Tena Wakiwa WAMELEWA CHAKARI, Bastola Zao Wamezianika Mezani Huku Pembeni Wakiwa Wamezungukwa Na VINCHECHEDE. Usipotoshe Watu Hakuna Siri Sasa Ndani Ya PSU au TISS Ila Tunachokifanya Ni Kuwatunzia Tu SIRI Zao Zingine KIMAADILI Kwa UZALENDO Wa KUIPENDA Nchi Tuliopewa Tukiwa Kama Watanzania Na Wao Wakiwa Ni MAKAMANDA Wetu WATIIFU Na WALIOTUKUKA.