Kilahunja
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 1,500
- 343
four failure na four/29,30,31-33 ni tofauti mkuu!!! nazungumzia tofauti ya utendaji ya mwenye four/28 na mwenye four/29-33.. samahani kama sijaeleweka!
unapofika eneo la kazi four wote ni kitu kimoja bila kujali four ya kwanza wala ya mwisho...cz wote mna lishwa elim nyingine kwa kiwango sawa, na hapa mtu aliyekuwa na four ya mwisho anaweza kuwa mzuri kushinda hata yule wa form six.....cz kufel form four inategemea na mtihan ulikubamba vip...unless bado sijakuelewa,na kama sijaeleweka niulize tu.