GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
GENTAMYCINE hivi yule aliyekuwa mpenzi wako wa kwenye lile gazeti maarufu hajambo?
GENTAMYCINE alias TISS wannabe, alias ma-ID mengi, alias POPOMA, alias sugu la kupigwa ban.:lol::lol:
CC La Brujita
Nini kirefu cha RSO?
Edobeny huyu jamaa nlichomgundua hajui kitu afu ana force mambo plus yupo ku compete....
...another thing anajua chuo ni mbweni tu..poor him
...another thing ana vitaarifa out dated
...another thing hana ethics
...another thing anajua security ni psu tu...shame on him
......alamsiki best
....nisalimie kwenu
Kapewa ban lakini nasikia kuwa jamaa huyu ana id's humu karibia 11 hivi na usikute hata hizi id's zingine unazoziona humu zinachangia huku zingine zikikusapoti kinafiki akawa bado ni yeye tu. Id's zake zingine nasikia ni kadoda11, Mussolin5 na nifah ukichanganya na ile waliyompiga ban sijui inaitwa GENTAMYCINE nasikia anazo zingine tena 7 hivi. Anyway mimi bado mgeni ngoja niwaache muendelee nae asije akanishambulia na mimi mnyonge humu bure!
Walinzi wa raisi ni wengi na kawaida raisi analindwa kwa cycle. Hii cycle inaweza kubadilika kwa shift. Kwenye hii cycle wapo wanaoonekana public na wasioonekana. Sasa ww kuwa specific unataka sifa za ADC au hawa wengine ?
NB: Ushawahi kusikia ajira ya udereva wa raisi au mpiga picha wa raisi kutangazwa ?
Naishia hapa.
GENTAMYCINE aka La Brujita huna maadili, me nitakufunza kwa kuweka picha yako hapa jukwani kwanza na kutaja jina lako halisi.
teh teh teh!!,mbavu zangu.utasababisha akuibukie PM akubembeleze usifanye hivyo.
mkuu musolin,genta anafahamika vizuri tu.tayari soft copy ya jalada lake ipo kwenye laptop yangu.hata hivyo, kwa sababu fulani fulani,tusimu-expose,tumuache aendelee kufanya comedy zake hapa JF.besically huwa napata burudani ninapo soma comment zake.kitendo cha kumu-expose kitasababisha atoweke JF mazima mazima(pamoja na zile ID zake) na kupelekea kukosa burudani yake.
copy to La Brujita
GENTAMYCINE alias TISS wannabe, alias ma-ID mengi, alias POPOMA, alias sugu la kupigwa ban.:lol::lol:
CC La Brujita
Mkuu tupo pamoja hata mimi huyu jamaa yaani simpendi na nashukuru amepigwa ban kidogo ili humu patulie. Halafu kuhusu kuvijua vyuo ni kweli havijui kwani badala ya kuvitaja vyote kama cha mbweni, kile cha dodoma na zanzibar yeye kabakia kukitaja tu hicho kimoja. Kuhusu vitaarifa ni kweli yawezekana akawa yupo outdated na ndiyo maana ameongopa kuhusu mkuu wa psu mzee mashiba, ameongopa kuhusu akina mzee mombo na principal wandiba. Na kuhusu ethics hata mimi nakubaliana na wewe kuwa hana kwani hata bosi wake mkuu mwenyewe mkuu wa kitengo na yeye hana maadili hadi siri zake nyingi za kiidara zinavuja hovyo kwa sisi wana chadema na ukawa. Vile vile ni kweli yeye anajua security ni psu tu peke yake wakati kumbe kuna tiss ambayo ndiyo baba au mama wa idara nzima. Kiukweli hata mimi nasema shame on you Kilahunja.
GENTAMYCINE aka La Brujita huna maadili, me nitakufunza kwa kuweka picha yako hapa jukwani kwanza na kutaja jina lako halisi.
teh teh teh!!,mbavu zangu.utasababisha akuibukie PM akubembeleze usifanye hivyo.
mkuu musolin,genta anafahamika vizuri tu.tayari soft copy ya jalada lake ipo kwenye laptop yangu.hata hivyo, kwa sababu fulani fulani,tusimu-expose,tumuache aendelee kufanya comedy zake hapa JF.besically huwa napata burudani ninapo soma comment zake.kitendo cha kumu-expose kitasababisha atoweke JF mazima mazima(pamoja na zile ID zake) na kupelekea kukosa burudani yake.
copy to La Brujita
Mussolin5 uko vyeeeeema
swadakta
Hahahaaaaa, haya popoma tumekusikia.