carnage21
JF-Expert Member
- Jan 24, 2023
- 591
- 1,382
PAMBA WALALAMIKA KUFANYIWA FIGISU
Uongozi wa klabu ya Pamba ya Jijini Mwanza umeomba uongozi wa TFF kuchunguza Upangaji wa matokeo kwenye Mchezo wao wa jana 1st leg play off dhidi ya Mashujaa FC mchezo uliofanyika Mkoani Kigoma ambao Pamba kupoteza (4 - 0).
Wadai wamefanyiwa uhuni, Wachezaji wao wameoneshwa kadi za njano (7) + (1) nyekundu ndani ya dakika (11') kipindi cha kwanza mchezo ukiwa (0-0).
Kipindi cha pili wakaoneshwa kadi zingine (2) nyekundu zikawa jumla kadi (3) nyekundu... Kama haitoshi mwamuzi akawapa penati mbili Mashujaa FC na Mpira kumalizika (4 - 0)
Pia kuna mchezaji wao amejeruhiwa na mbwa wa makomandoo wa Mashujaa FC.
Haya yote yametokea jana tu,je ni kweli upangaji wa matokeo ni changamoto Tanzania hasa ligi ya championship??
Uongozi wa klabu ya Pamba ya Jijini Mwanza umeomba uongozi wa TFF kuchunguza Upangaji wa matokeo kwenye Mchezo wao wa jana 1st leg play off dhidi ya Mashujaa FC mchezo uliofanyika Mkoani Kigoma ambao Pamba kupoteza (4 - 0).
Wadai wamefanyiwa uhuni, Wachezaji wao wameoneshwa kadi za njano (7) + (1) nyekundu ndani ya dakika (11') kipindi cha kwanza mchezo ukiwa (0-0).
Kipindi cha pili wakaoneshwa kadi zingine (2) nyekundu zikawa jumla kadi (3) nyekundu... Kama haitoshi mwamuzi akawapa penati mbili Mashujaa FC na Mpira kumalizika (4 - 0)
Pia kuna mchezaji wao amejeruhiwa na mbwa wa makomandoo wa Mashujaa FC.
Haya yote yametokea jana tu,je ni kweli upangaji wa matokeo ni changamoto Tanzania hasa ligi ya championship??