Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hairuhusiwi ndio maana police zilikua nyingi zikavujwa ikawa Police Tanzania, same to JKT zilikua nyingi sasa hivi kuna JKT TanzaniaInaruhusiwa
FIFA inakataa hayo mambo nadhani kuna ujanja ujanja wanafanyaHizo mashujaa na nyinginezo sio complete za majeshi kama ilivo ruvu,jkt na polisi
Inaruhusiwa ,unaijua RB Salzburg na RB Leipzig?FIFA inakataa hayo mambo nadhani kuna ujanja ujanja wanafanya
Ok,ila sina uhakika, nalifanyia kaziInaruhusiwa
Mbona hizo team zikikutana na kina mapacha wa kkoo wanalegea sana?timu za majeshi ziwe na ligi yao wataua watu, siku moja nliangalia mechi ya Rhino rangers na Pamba ile mechi ilikua zaidi ya vita mbaya zaidi Pamba alikua nyumbani ila alinyanyasika kama yupo away
Hao mbao hata kupanda kipindi kile walipanda kwa mbeleko baada ya kina geita gold kuonekana wamepanga matokeo wakashushwa daraja lkn wanapambana mpaka leo wapo ligi kuu.Mbao ni team isiyo na Nia thabit, kila msimu ujingaujinga Kuna metch tatu mlipoteza mfulizo zile ndo zingewapeleka ligikuu direct kabisaa nyie mkafanya ujinga.
MWANZA Yotee tiamajitiamaji.
Waacheni wanajeshi wakaipambanie KG.
Na siyo mwaka jana tu, ni almost tangia mwaka juzi au nyuma zaidi pale walipopangiwa kucheza play-off na Kagera Sugar iliyokuwa ishuke daraja. Haya mambo ya play-off yalinikera sana, na bado Kagera Sugar waliifanyia hujuma sana Pamba kule Bukoba.Pamba ilikua ipande tangia mwaka jana mpira wa bongo ni fitna na uhuni mwingi,mji wa Mwanza auna watu wa aina iyo ndio maana Pamba wanapata tabu sana kupanda maranyingi wananyang'anywa tonge mdomoni.
Hili swali wakikujibu unitag. Chama cha soka Mwanza ni kama kiko likizo kikisubiri posho za vikao tu.Na siyo mwaka jana tu, ni almost tangia mwaka juzi au nyuma zaidi pale walipopangiwa kucheza play-off na Kagera Sugar iliyokuwa ishuke daraja. Haya mambo ya play-off yalinikera sana, na bado Kagera Sugar waliifanyia hujuma sana Pamba kule Bukoba.
Hivi Pamba ilishakosa mtetezi? MZFA wanafanya kazi gani hasa?
Hii haikubariki, hiyo mechi iangaliwe upya video zipo TV 3 na Takukuru wakamate wahuni wote walioshiriki huu upumbavu.