wanawake wawili!! Kumbe uko vzrPaprika pussy kama ni bwawa ni bwana tu.
Ila mimi sijawahi kuona p ya tofauti mm naona zote sawa na mtu akisema bwawa sijui ipoje manake unamuandaa mwezako ili awe horny. Sasa si ndio bwawa hilo? Anyway.
Wanaojitambua hawaweZi kutumikia mabwana wawili au wanawake wawili at the sana time.
Magonjwa mengi nowdays
Rudia kusoma tena Inna nimesema mtu anayejitambua hawez kuwa na wanawake wawili.wanawake wawili!! Kumbe uko vzr
Rudia kusoma tena Inna nimesema mtu anayejitambua hawez kuwa na wanawake wawili.wanawake wawili!! Kumbe uko vzr
Hahaha kushindwa kujielezea ni dalili ya kutokujiaminiMmmh, Ushamba huo.
Nadhani alidhani bila yeye nisngeishi tenaYaaani! Alikuona ww kiazi sana ee
[emoji1]Usithubutu kushika sim ya mkeo ay gf au fb . Labda kama mnataka kuachana hapo sawa
Pole sana.mimi nimetoka kumfumania mwanaume juzi wallah sikuamini macho yangu....hapa nilipo sina hamu
Funguka mkuu.Nikisimulia hapa wote mtanionea huruma
Asante mkuuPole sana.
Tafadhali simulia tupate uzoefuNikisimulia hapa wote mtanionea huruma
Yaah nmekuelewa ndo mana nkasema uko vzr, kwamba unaona kuwa na wanawake wengi ni ujingaRudia kusoma tena Inna nimesema mtu anayejitambua hawez kuwa na wanawake wawili.
Afu kwa nn kila nikiona koment yako au like mapigo ya moyo yanaenda mbio.
Au ndio unakaribia kunitafuta pm nini?
Fanya hima uhakiki mbona unachukua muda mrefu hivo kama JPM?
Wapi anajipigia promo tu huyo.Yaah nmekuelewa ndo mana nkasema uko vzr, kwamba unaona kuwa na wanawake wengi ni ujinga
Swali lako linamaanisha nini?Wapi anajipigia promo tu huyo.
Nina swali. Hivi mwanaume akimtaka mwanamke anatakiwa amwambie mwanamke amtafute au mwanaume mwenyewe anatakiwa aende jirani?
Ndio maana nakupenda☺️Yaah nmekuelewa ndo mana nkasema uko vzr, kwamba unaona kuwa na wanawake wengi ni ujinga
Hii inaitwa myth.....hiki kitu hakipo kabisa, ukimwi, gono, kaswende, plus hisia za wivu wao hawana? Hii haina ukweli abadani. Penzi wivu kwa asili yake.Wamasai wananifurahisha sana, ukiwa umesafiri na ukarudi ghafla, na ukakuta mkuki mlangoni kwako, we rudi katafute sehemu ulale, kisha rudi kumekucha, na hutakiwi kuuliza eti ulikuwa na nani, ingia ndani na endelea kutafuna mzigo.
Habari jaribu tuone....Nikisimulia hapa wote mtanionea huruma