Je, ushawahi kumfumania mpenzi wako au kufumaniwa? Ilikuwaje?

Sijui kama ipo siku nitafumaniwa aisee,

Napia sidhani kama ntafumania kwa sababu ntaua,

Binafsi napenda sana Ngono na sidhani kama mwanamke mmoja atamudu ila nahakikisha kama ikotokea kajua kama napakua nje basi atakuwa alidhamiria baada ya miaka no password kwa simu na vitu vyangu vyote vipo wazi ila najua mwenyewe

Sijaoa bado nasema hayo kama nitaoa
 
Maza ni boya
Hizi neema ningepataga mie ningezitumia sjui kwanini hazinipati
Maza ni boya kweli wala hudanganyi hajui kucheza na fursa na mzee wake anastaafu 2020 lkn maza kalala anafurahia madeko
 
Hahaa unamaanisha hata nikitaka unanioshea?
 
Kuoshea vyombo ndo nini mkuu? Hapo umeniacha haki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…