Je, ushoga umeanza kukubalika Tanzania?

Je, ushoga umeanza kukubalika Tanzania?

Ukitazama mitandao ya jamii na mitaani Kuna vijana wanajinadi kabisa kuwa tops,vers na bottoms lakini hawachukuliwi hatua za kisheria.je ushoga umeachwa uenee bila wasi wasi?.
Kwani ushoga unakiuka sheria ipi ya haki za binadamu?
 
hatari sana iyo sio njia mpya wala ni za zamni njia mpya ni hizi nguo zenye upinde wa mvua, ukikuta vibukta hivi vina upinde wa mvua alafu ina zipu ogopa sana usivae hata mara moja, nilipewa siri na jamaa flani kwamba zile zenye zipu huwa zinageuzwa nyuma mbele alafu shoga anainamisha for emejency ,

ilishawah mtokea uyo jamaa ni muangalix wa hotel flan hiv sasa siku, mteja wake wa kiume akamuita amsaidie jambo ndo akakutana na jambo kama ilo jamaa alikua kageuza iyo bukta nyuma mbele alafu kaacha wazi akawa anajiinamisha inamisha kama anatafuta kitu, yule jamaa kuona vile mzigo ukashtuka ndo yule mteja akamwambia wafanye.

sijui aliishia wapi maana maadil ya hotel yao haayaruhusu muhudumu kufanya jambo na mteja
 
Ukitazama mitandao ya jamii na mitaani Kuna vijana wanajinadi kabisa kuwa tops,vers na bottoms lakini hawachukuliwi hatua za kisheria.je ushoga umeachwa uenee bila wasi wasi?.
Kuna ushoga (homosexuality) - sexual orientation/inclination na vitendo vya kishoga (homosexual acts). Mimi nadhani kinachokatazwa ni baadhi ya vitendo vya kishoga na kwa vile hakujafafanulia ushoga ni nini na vitendo vya kishoga vinavyokatazwa ni vipi kuna 'blanket judgement' na 'mchanganyiko maalum'. Which is which?
 
Kuna ushoga (homosexuality) - sexual orientation/inclination na vitendo vya kishoga (homosexual acts). Mimi nadhani kinachokatazwa ni baadhi ya vitendo vya kishoga na kwa vile hakujafafanulia ushoga ni nini na vitendo vya kishoga vinavyokatazwa ni vipi kuna 'blanket judgement' na 'mchanganyiko maalum'. Which is which?
Mmeshaanza kujitetea
 
hatari sana iyo sio njia mpya wala ni za zamni njia mpya ni hizi nguo zenye upinde wa mvua, ukikuta vibukta hivi vina upinde wa mvua alafu ina zipu ogopa sana usivae hata mara moja, nilipewa siri na jamaa flani kwamba zile zenye zipu huwa zinageuzwa nyuma mbele alafu shoga anainamisha for emejency ,

ilishawah mtokea uyo jamaa ni muangalix wa hotel flan hiv sasa siku, mteja wake wa kiume akamuita amsaidie jambo ndo akakutana na jambo kama ilo jamaa alikua kageuza iyo bukta nyuma mbele alafu kaacha wazi akawa anajiinamisha inamisha kama anatafuta kitu, yule jamaa kuona vile mzigo ukashtuka ndo yule mteja akamwambia wafanye.

sijui aliishia wapi maana maadil ya hotel yao haayaruhusu muhudumu kufanya jambo na mteja
Uyo jamaa yako shoga nae
Huwezi kusimamisha kwa kuona makalio ya mwanaume mwenzako
 
Back
Top Bottom