Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe na wewe umeligundua hili,siku hzi azam nadhani wana edit sehemu za hao jamaa.Sijakutana na tamthilia ya kifilipino ambayo haina character gay.
Tanzania tumekuta dunia iko mbele sana, tumerukia huku tukiwa nyuma katika nyanja nyingi.
Kwani ushoga unakiuka sheria ipi ya haki za binadamu?Ukitazama mitandao ya jamii na mitaani Kuna vijana wanajinadi kabisa kuwa tops,vers na bottoms lakini hawachukuliwi hatua za kisheria.je ushoga umeachwa uenee bila wasi wasi?.
Azam watu sana aiseeKumbe na wewe umeligundua hili,siku hzi azam nadhani wana edit sehemu za hao jamaa.
Kuna ushoga (homosexuality) - sexual orientation/inclination na vitendo vya kishoga (homosexual acts). Mimi nadhani kinachokatazwa ni baadhi ya vitendo vya kishoga na kwa vile hakujafafanulia ushoga ni nini na vitendo vya kishoga vinavyokatazwa ni vipi kuna 'blanket judgement' na 'mchanganyiko maalum'. Which is which?Ukitazama mitandao ya jamii na mitaani Kuna vijana wanajinadi kabisa kuwa tops,vers na bottoms lakini hawachukuliwi hatua za kisheria.je ushoga umeachwa uenee bila wasi wasi?.
umeandika ujingaKuna ushoga (homosexuality) - sexual orientation/inclination na vitendo vya kishoga (homosexual acts).
Mmeshaanza kujiteteaKuna ushoga (homosexuality) - sexual orientation/inclination na vitendo vya kishoga (homosexual acts). Mimi nadhani kinachokatazwa ni baadhi ya vitendo vya kishoga na kwa vile hakujafafanulia ushoga ni nini na vitendo vya kishoga vinavyokatazwa ni vipi kuna 'blanket judgement' na 'mchanganyiko maalum'. Which is which?
Dooh.kumbe na wewe NI mtetezi wa haki za binadamuKwani ushoga unakiuka sheria ipi ya haki za binadamu?
Uyo jamaa yako shoga naehatari sana iyo sio njia mpya wala ni za zamni njia mpya ni hizi nguo zenye upinde wa mvua, ukikuta vibukta hivi vina upinde wa mvua alafu ina zipu ogopa sana usivae hata mara moja, nilipewa siri na jamaa flani kwamba zile zenye zipu huwa zinageuzwa nyuma mbele alafu shoga anainamisha for emejency ,
ilishawah mtokea uyo jamaa ni muangalix wa hotel flan hiv sasa siku, mteja wake wa kiume akamuita amsaidie jambo ndo akakutana na jambo kama ilo jamaa alikua kageuza iyo bukta nyuma mbele alafu kaacha wazi akawa anajiinamisha inamisha kama anatafuta kitu, yule jamaa kuona vile mzigo ukashtuka ndo yule mteja akamwambia wafanye.
sijui aliishia wapi maana maadil ya hotel yao haayaruhusu muhudumu kufanya jambo na mteja
Ndio nini hizo tops, vers na bottoms elezea kinaganaga wengine hatupo huko daslamu kwenye mambo hayo?Ukitazama mitandao ya jamii na mitaani Kuna vijana wanajinadi kabisa kuwa tops,vers na bottoms lakini hawachukuliwi hatua za kisheria.je ushoga umeachwa uenee bila wasi wasi?.
Nawe mkuu umeshaumaliza mwendo?!😳Kwani ushoga unakiuka sheria ipi ya haki za binadamu?
za kuingiliwa kinyume na maumbile.Kwani ushoga unakiuka sheria ipi ya haki za binadamu?