Je, ushoga umeanza kukubalika Tanzania?

Je, ushoga umeanza kukubalika Tanzania?

Kuna watu katika hii dunia wanachojali ni kutengeneza pesa, hawajali matatizo au madhara unayopata mhusika.

Imagine, hawa watu wananufaika nini na kuenea kwa matendo hayo?

Kampeni kubwa ni kueneza kwa gharama yoyote ili wao wavune pesa kupitia mauzo ya vitendea kazi, madawa ya kutibu athari zake pamoja na vifaa tiba.

Wengi wamefanywa mabalozi wa kutetea aidha kwa kujua au bila wao kujua kilichopo nyuma ya pazia.

Kwa hiyo mleta mada, muhimu ni kama mchangiaji mmoja hapo juu.
Linda wanao na wengine unaoweza kuwalinda. Hii ni biashara kama biashara nyingine.
 
Nipo kwenye foleni mda buguruni sheri kapita kijana kavaa skin jeans kimodo, inemtaiti. Juu sijui ile blauzi au t-shirt, kwa nje kavaa shati na anatembea hana habari,tunapo elekea huku.......mmmhh tuombe Mungu aviepushe vizazi vyetu.
 
hatari sana iyo sio njia mpya wala ni za zamni njia mpya ni hizi nguo zenye upinde wa mvua, ukikuta vibukta hivi vina upinde wa mvua alafu ina zipu ogopa sana usivae hata mara moja, nilipewa siri na jamaa flani kwamba zile zenye zipu huwa zinageuzwa nyuma mbele alafu shoga anainamisha for emejency ,

ilishawah mtokea uyo jamaa ni muangalix wa hotel flan hiv sasa siku, mteja wake wa kiume akamuita amsaidie jambo ndo akakutana na jambo kama ilo jamaa alikua kageuza iyo bukta nyuma mbele alafu kaacha wazi akawa anajiinamisha inamisha kama anatafuta kitu, yule jamaa kuona vile mzigo ukashtuka ndo yule mteja akamwambia wafanye.

sijui aliishia wapi maana maadil ya hotel yao haayaruhusu muhudumu kufanya jambo na mteja
Mkuu
Naona unasimulia jambo ambalo hukusimuliwa na mtu yeyote. I mean kama haukuwa unakula chabo, basi wewe ndo mhusika.

Unadindishaje ukiona tako la.mwanaume mwenzio?
 
Sijui kwanini swala la ushoga watu wengi hawapendi kulijadili kwa kina zaidi yakukimbilia mihemko,au kuanza kuwaona wanaohoji maswali kuhusu mashoga nao ni mashoga au ni watetezi wa mashoga.kitu ambacho katu hakiwezi kutusaidia kuepukana na hili janga.Lazima tukubali hili jambo lipo na tuwe na mjadala mpana wakulijadili kwa kina kwasababu linagusa jamii nzima na linazidi kushika kasi.Kwahiyo badala ya watu kujificha kwenye kivuli cha kuwasema wanaohoji uhuru wa mashoga tunapaswa tujiulize hivi hiyo ndio njia sahihi yakumaliza hili janga.Vinginevyo tukubali hili jambo liko nje ya uwezo wetu.sisi tupige tu blah blah ila hatuna ubavu nalo kuanzia kwenye jamii yenyewe hadi kwenye sheria na katiba ya nchi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hali ni mbaya mnooo
IMG_0607.jpg
 
Ushoga sio jambo sahihi kwa maadili ya nchi yetu, kwani hata sheria ya ndoa,1977 inaeleza bayana kuwa ndoa ni muunganiko wa hiyari wa jinsia mbili tofauti.Kinachoendelea sasa ni dhahiri mmonyoko wa maadili wenye msukumo kutoka nchi za magharibi.Nchi zinazoendelea haziwezi kuwa na sauti kutokana na utegemezi wa kimsaada unaoambatana na masharti ya kutonena vibaya dhidi ya wapenzi wa jinsia moja.Afrika ikiendelea kuwa tegemezi wa misaada kutoka nje itaendelea kuwa watumwa wa yote kutoka magharibi ambapo ushoga na usagaji ni miongoni mwa sera zao kama walivyofanikiwa na masuala ya haki za watoto wakijua tayari watoto wao wameshashindikana kwa tabia mbovu. Tuna safari ndefu ya kujitegemea kutokana na ubinafsi, ukibaraka na hila za viongozi wengi wa Afrika na wananchi wake walio wavivu wa kufikiri.
 
Sijakutana na tamthilia ya kifilipino ambayo haina character gay.

Tanzania tumekuta dunia iko mbele sana, tumerukia huku tukiwa nyuma katika nyanja nyingi.
Nilipiga marufuku hizo tamthlia kwangu. Na sijui kwanini zinarushwa, TCRA sijui wapo wapi kwenye hilo. Hizo tamthlia za wafilipino zilipaswa kuzuiwa kurushwa hapa kwetu.
 
Back
Top Bottom