Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Yea yea ...Nime Google mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yea yea ...Nime Google mkuu
Huwa najiuliza kwann wanapendelea kuwaweka hawa jamaa kwenye muvi hzo nying,pia muvi za kihindi nako huwa nawaona,sjui wanafanya hvyo ili iweje,dunia ishakuwa mbovu hiiSijakutana na tamthilia ya kifilipino ambayo haina character gay.
Tanzania tumekuta dunia iko mbele sana, tumerukia huku tukiwa nyuma katika nyanja nyingi.
Nipo Tanga.Mkoani ushoga ni mwingi kuliko Dar na Tanga japo wengi wanaamini kuwa upo sana Dar na Tanga ila sio kweli.
Dr. Kumbukumbu [emoji23][emoji23]Media zenu zenyewe watangazaji wanaongea mambo ya kshgshg
Ova
Na yule wa cleaners fm wote hao siwaeleweielewiDr. Kumbukumbu [emoji23][emoji23]
Bado unaamini kwamba kuna aliyetuumba?Hivi hizi haki za binadamu aliweka nani? Muumba au sisi wenyewe, je aliyetuumba hakuweka misingi na taratibu zake?
Moro Kuna shoga mmoja Erik,( sio mwenyej kahamia Moro kwa mujibu wa madereva wa pale) alipita sehemu moja mjini mchana peupe, anajishebedua hatari, pale karibu na stend ya bajaji na teks, watu wamemzomea na kumzonga, kila sehemu wakifanya vile labda wataona aibu na kutubu.Sio dar tu mikoa mingi Lindi ulizia Paris club Kuna mashoga Kama wanne maarufu Sana pale
Hivyo vitop ndio vinini mkuu? Au ndio maneno yenu kwenye ushoga huko?Ukitazama mitandao ya jamii na mitaani Kuna vijana wanajinadi kabisa kuwa tops,vers na bottoms lakini hawachukuliwi hatua za kisheria.je ushoga umeachwa uenee bila wasi wasi?.
Kuna ushoga (homosexuality) - sexual orientation/inclination na vitendo vya kishoga (homosexual acts). Mimi nadhani kinachokatazwa ni baadhi ya vitendo vya kishoga na kwa vile hakujafafanulia ushoga ni nini na vitendo vya kishoga vinavyokatazwa ni vipi kuna 'blanket judgement' na 'mchanganyiko maalum'. Which is which?
How?Mbona hamuulizi ubongo kids nao wanasapoti ushoga
Wafilipino wengi ni mapungaSijakutana na tamthilia ya kifilipino ambayo haina character gay.
Tanzania tumekuta dunia iko mbele sana, tumerukia huku tukiwa nyuma katika nyanja nyingi.
Ukiwaweka lupango watakula sana hadi lupango kuwe na harufu ya nnya na nzi kibaoHii ni hatari sana. Hawa jamaa wasakwe na kuwekwa Rupango wanatuharibia jamii. Eti wanadai serikali haiwezi kuwapangia matumizi ya miili yao.[emoji241][emoji241]
Mbona sijaona kama amesema alidimdishaUyo jamaa yako shoga nae
Huwezi kusimamisha kwa kuona makalio ya mwanaume mwenzako
Ni aheri tusijadili tu, we unaona hujaumbwa, kila la kheri mzee.Bado unaamini kwamba kuna aliyetuumba?
Hivyo basi hakuna haja ya mimi na wewe kuendelea na huu mjadala.
he has a pointMmeshaanza kujitetea