Je, ushoga umeanza kukubalika Tanzania?

Je, ushoga umeanza kukubalika Tanzania?

Ndio namna pekee ya kupewa mikopo kirahisi, kupinga ajenda za kupelekeana moto ni kukwamisha juhudi za Hangaya kuvuta mawe😂
 
Aise mashoga ni wengi sahv
Alafu media,wasanii wanahamasisha sana ushg

Ova
 
Fanya Yako wee mzee. Usipangie watu maisha. Acha watu waishi kwa uhuru wao , kwani wanakudhuru nini ? Hutaki kajichimbie ardhini.

Kwani yote wewe unayoyafanya watu wanayapenda au wanakubaliana nayo ,si wanakuvumilia tu ili mradi hudhuru mtu wanaachana na wewe.

Jifunze ku mind your own issues mzee.
Wewe nina mashaka nawe

Utakuwq unafukuriwa
 
Mashoga wana platform yao wanaiita pamoko hapo utawakuta wamejaazanaaa lundoooooo kuna mdau ali share link ya iyo platform ...nikajitusu kuingia eiiiiiiiiiijj hatar Tz isha ozaaaa
 
Sijakutana na tamthilia ya kifilipino ambayo haina character gay.

Tanzania tumekuta dunia iko mbele sana, tumerukia huku tukiwa nyuma katika nyanja nyingi.
Wafilipino,Wathailand na wadosi wengi ni mapunga
 
Back
Top Bottom