Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Ndio namna pekee ya kupewa mikopo kirahisi, kupinga ajenda za kupelekeana moto ni kukwamisha juhudi za Hangaya kuvuta mawe😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watajwe, watumiaji pia wamo!Wengine wako humu,wengi tu.
Watajwe, watumiaji pia wamo!
Hahajuma lokole, Mwijaku, Hbaba, Babalevo Aristotle, Alawi Junior, Dr kumbuka, hawa ni mashoga wa kuanza nao
Kafie mtaroni.Hovyooo
Wewe nina mashaka naweFanya Yako wee mzee. Usipangie watu maisha. Acha watu waishi kwa uhuru wao , kwani wanakudhuru nini ? Hutaki kajichimbie ardhini.
Kwani yote wewe unayoyafanya watu wanayapenda au wanakubaliana nayo ,si wanakuvumilia tu ili mradi hudhuru mtu wanaachana na wewe.
Jifunze ku mind your own issues mzee.
Jamaa mwenyewe yuko soft sana
Kuoa au kuwa na Mahusiano Jinsia 2 tofauti. Me na Ke = Mahusiano ya Kimapenzi. not Me+Me!!Kwani ushoga unakiuka sheria ipi ya haki za binadamu?
Wafilipino,Wathailand na wadosi wengi ni mapungaSijakutana na tamthilia ya kifilipino ambayo haina character gay.
Tanzania tumekuta dunia iko mbele sana, tumerukia huku tukiwa nyuma katika nyanja nyingi.
Sio dar tu mikoa mingi Lindi ulizia Paris club Kuna mashoga Kama wanne maarufu Sana pale