Je, ushoga umeanza kukubalika Tanzania?

Ndio namna pekee ya kupewa mikopo kirahisi, kupinga ajenda za kupelekeana moto ni kukwamisha juhudi za Hangaya kuvuta mawe😂
 
juma lokole, Mwijaku, Hbaba, Babalevo Aristotle, Alawi Junior, Dr kumbuka, hawa ni mashoga wa kuanza nao
 
Aise mashoga ni wengi sahv
Alafu media,wasanii wanahamasisha sana ushg

Ova
 
Wewe nina mashaka nawe

Utakuwq unafukuriwa
 
Mashoga wana platform yao wanaiita pamoko hapo utawakuta wamejaazanaaa lundoooooo kuna mdau ali share link ya iyo platform ...nikajitusu kuingia eiiiiiiiiiijj hatar Tz isha ozaaaa
 
Sijakutana na tamthilia ya kifilipino ambayo haina character gay.

Tanzania tumekuta dunia iko mbele sana, tumerukia huku tukiwa nyuma katika nyanja nyingi.
Wafilipino,Wathailand na wadosi wengi ni mapunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…