Uchaguzi 2020 Je, utabiri wa Mwalimu Nyerere kuwa upinzani wa dhati nchini utatoka ndani ya CCM kuanza kutokea katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu?

Wewe unawaza kibinadamu na Mungu ana mipango yake........

Lisilowezekana kwa binadamu, linawezekana kirahisi sana kwa Mungu wetu Mkuu kushinda vitu vyote
Mbona Magufuli qliposema tuombe kwa ajili ya janga la corona ulimbeza?
 
Hivi kwa nini mnamfanya Nyerere kama nabii..alianzisha vyama vingi kwa katiba ya chama kimoja..Dictatorships
 
Mbona Magufuli qliposema tuombe kwa ajili ya janga la corona ulimbeza?
Crimea
Nani alimbeza?

Katika mambo machache sana ambayo nimewahi kumwuunga mkono Rais Magufuli ni kwa uamuzi wake wa kulitaka Taifa tumwombe Mungu ili atuepushe na janga la corona
 
Siasa za Nyerere umezisoma ila hukuwapo..
Ni worse than this.... ila woga ulitawala.

Karatasi ya kura ilikuwa picha na kivuli....

Hapana... hapana mwingine zaidi yake
Ndio... tumemkubali anafaa aongoze milele

Nipe tofauti ya kimantiki kati ya utawala wa Nyerere na huu.
 
Hapana

Hajafukuzwa na mkutano Mkuu wala Halmashauri Kuu, bali ni hiyo Kamati Kuu ambayo katika utawala huu wa awamu ya tano "inajimwambafai" na kujona yenyewe ni sawasawa na mungu mtu
Sasa yeye mwenyewe kasema haina mamlaka hiyo, kwa hiyo hajafukuzwa, yeye kwa kutumia haki na ubobezi wake akachukue fomu.
 
Crimea
Nani alimbeza?

Katika mambo machache sana ambayo nimewahi kumwuunga mkono Rais Magufuli ni kwa uamuzi wake wa kulitaka Taifa tumwombe Mungu ili atuepushe na janga la corona

Huyo amekariri, kwa sababu yeye anamuunga mkono Magufuli kwa kila kitu, basi anadhani kila asiyemkubali Magufuli, basi anapinga kila kitu chake.
 
Kama Membe hana support ya vyombo vya dola, anachokifanya ni kutwanga maji kwenye kinu.
 
Huyo amekariri, kwa sababu yeye anamuunga mkono Magufuli kwa kila kitu, basi anadhani kila asiyemkubali Magufuli, basi anapinga kila kitu chake.
Aliposema tuombe badala ya kujifungia ndani kama viongozi wako wa chadema walivyokuwa wanataka ulikuja hapa kumuunga mkono?
 
Nyerere alitofautiana na Kambona.ilibidi kambona akimbie nchi.
Sasa ngoja nikupe habari labda huijui, kaka zake wawili na kambona waliwekwa kizuizini na mwishoe wakaachiwa kwa sharti la kuondoka nchini.
Walikuwa wafanyakazi wa umma lakini walifukuzwa kazi.
Ugomvi wa kambona na Nyerere uliwagharimu mpaka ndugu zake
 
Aliposema tuombe badala ya kujifungia ndani kama viongozi wako wa chadema walivyokuwa wanataka ulikuja hapa kumuunga mkono?

Ninajitambua vizuri sana, tena kwenye hiyo post nilisema kabisa, mimi simuungi mkono Magufuli kwenye mambo mengi, ila kwa hilo la kugomea lockdown yuko sahihi. Sina shaka na post hiyo, na uzuri hiyo post iko huku huku. Mimi sio bendera fuata upepo.
 
Ninajitambua vizuri sana, tena kwenye hiyo post nilisema kabisa, mimi simuungi mkono Magufuli kwenye mambo mengi, ila kwa hilo la kugomea lockdown yuko sahihi. Sina shaka na post hiyo, na uzuri hiyo post iko huku huku. Mimi sio bendera fuata upepo.
Sawa..
 
Ninajitambua vizuri sana, tena kwenye hiyo post nilisema kabisa, mimi simuungi mkono Magufuli kwenye mambo mengi, ila kwa hilo la kugomea lockdown yuko sahihi. Sina shaka na post hiyo, na uzuri hiyo post iko huku huku. Mimi sio bendera fuata upepo.
Una maoni gani kuhusu hili la Membe kubwata tu mitandaoni, wakati anajua fomu zinapopatikana ila haendi kuchukua?
 
Me kwa mtizamo wangu:;
kama huyo "kachero mbobezi," alishindwa kupata uraisi kipindi cha "ndugu" yake.ije iwe sasa yupo nje ya mfumo!!!!!!😳.mfa maji haishiwi kutapatapa.
sidhani hata atatokaje huko mtama hadi dodoma kuchukua fomu(maana njia itakua imatapakaaa magogo).Na ajiadhae kuigharimu familia na ndugu na hao jamaa zake sita baada ya hizi mbwembwe zake kugonga mwamba.Hakika atajuta kwa anachokifanya kwa sasa.
 
Hawajui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…