Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Kunyonga demekrasia .kutesa wapinzani kunynganya hela za watu kunynganya rambirambi za tetemeko.kutopandisha mishahara kuwafukuza wafanyakazi bila kosa kuwaweka maaskofu ndani kujifanya anampenda mungu kumbe sio.kutudanganya uchumi umekua kumbe sio nk nk nk.
Mbona unasahau suala la kuhakikisha Mbowe suala la kuweka koti anapigiwa kura Jimboni Hai, linakwisha na haingii Bungeni.
 
Chanzo Cha kifo chake tutaelezwa vizuri 2024-2025 . Na kama walihusika utakuwa mwisho wa CCM kutawala.

mkuu mbuzi wa bwana juma kala maindi ya bwana juma wewe inakuuma nni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Miezi mi5 ishapita ,sio mchezo!! Wapi Ben Saa 8? Wapi Kanguye? Wapi Azory Gwanda?
 
Mbowe bado angekuwa uhamishoni

Sabaya na wenzake kina Chawamila, porepore na bashiru bado wangekuwa ofisini au pengine kupandishwa cheo kabisa

Tanzania ingekuwa salama zaidi kuhusu Corona

Gwajima wa kike angekuwa ameshakunywa lita kadhaa za mchanganyiko wa tangawizi, limao, saumu, kitunguu maji na pilipili

Ng'ombe wote wa chato wangekuwa wameshafungwa site mirror kwaajili ya kuwaongoza kwenye barabara za chato

Gas ya kupikia ingekuwa bei nafuu kuliko sasa

Miamala ingekuwa vilevile kama awali, huku vifurushi vingekuwa vimepanda bei

Sheria ndogondogo zingekuwa zimeshatungwa kwaajili ya kuibana mitandao zaidi [emoji51]

Jokate na Samia wangekuwa hawajadungwa chanjo ya majaribio

Bado tungekuwa hatujasikia sauti ya mstaafu Kikwete labda tungeona Picha zake akilima mananasi kule mkoani Pwani

Tungekuwa hatupati changamoto ya kukatika umeme mara kwa mara

Kuna watu wangekuwa wameshauawa kwa kuwa kinyume na matakwa yake

Tungekuwa tumeshapata misamiati mipya kutoka kwake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na kubwa zaidi Tanzania ingekuwa inatrend duniani kwa kujitenga kabisa na propaganda za korona huku tukipiga kazi wakati huohuo tukiwa tumeongeza imani kwa jiwe kutokana na misimamo yake isiyoyumba kuhusu mabeberu [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
[emoji817][emoji3581]
 
Ninawasalimia nyote, ninakiri pamoja na kwamba bwana yule aliyetangulia mbele za haki tangia Marchi 17, 2021 kama tulivyotangaziwa, kuna mazuri kadhaa ambayo kwayo tutakuwa tumeya mis.

Mojawapo ni kukatikakatika kwa umeme kwa muda mrefu haikuwepo, kasi ya kuwekewa umeme kwenye nyumba zetu, mfumko na kasi ya kupanda bei za bidhaa kama vile: mafuta ya aina zote, vifaa vyote vya ujenzi, tozo za miamala za simu, kupanda kwa bei ya mbolea kwa 100%, gesi ya kupikia majumbani bei juu, kurejea kwa kasi matukio ya ujambazi, nidhamu ya kazi imepungua! Kwa ujumla ni mambo mengi mno sitoweza kuorodhesha yote.

By the way, the late nilikuwa simkubali kwa vitendo vyake vya kikatili kwa waliokuwa wanaepingana naye kama akina TL,Saa nane, na wengi wengineo wengi tu!
 
Ilo jambo binafsi pia lina nishangaza sanaaa tafsiri yake ni kwamba watendaji hao wa shirika la umeme wanapenda kufanya kazi kwa kusimamiwa na kufuatwa fuatwa kama inzi na kinyesi
"Business as usual" imerejea. Wahenga walinena Ukimchekea nyani utavuna mabua. Rais SSH analeta umama mama nchi itamshinda
 
Vile mwendakuzimu amefurahia uzi wako huu kutokea huko kuzimu!
AYrClH-.jpg
 
Ninawasalimia nyote, ninakiri pamoja na kwamba bwana yule aliyetangulia mbele za haki tangia Marchi 17, 2021 kama tulivyotangaziwa, kuna mazuri kadhaa ambayo kwayo tutakuwa tumeya mis.

Mojawapo ni kukatikakatika kwa umeme kwa muda mrefu haikuwepo, kasi ya kuwekewa umeme kwenye nyumba zetu, mfumko na kasi ya kupanda bei za bidhaa kama vile: mafuta ya aina zote, vifaa vyote vya ujenzi, tozo za miamala za simu, kupanda kwa bei ya mbolea kwa 100%, gesi ya kupikia majumbani bei juu, kurejea kwa kasi matukio ya ujambazi, nidhamu ya kazi imepungua! Kwa ujumla ni mambo mengi mno sitoweza kuorodhesha yote.

By the way, the late nilikuwa simkubali kwa vitendo vyake vya kikatili kwa waliokuwa wanaepingana naye kama akina TL,Saa nane, na wengi wengineo wengi tu!
Usisahahau handling ya uviko 19 jamaa alisimamia anachokijua na kukiamini na taifa halikutetereka mpaka pale alipofumba macho
 
"Business as usual" imerejea. Wahenga walinena Ukimchekea nyani utavuna mabua. Rais SSH analeta umama mama nchi itamshinda
Huu ndio ulimbukeni wa baadhi ya watz, yaan tuna mmilikisha SSH nchinas if ni mali yake binafsi, wakati nchi hii ikiporomoka ni watz woteeee

Kwa maana ya kwamba mtumishi akipewa nafasi yumpasa ajitume kwa maendeleo ya MAMA TANZANIA
 
huo ukatili na undava ndio unatakiwa Tanzania mambo yaende....kuna pumbavu ukiziachia achia utavuna mabua....siunaona sasa kila mtu kambale....press kila kukicha na Taifa limeshageuka la kisiasa...
Press ni kinyume na katiba?Taifa hili ni la kisiasa na linaendeshwa kisiasa!Huo ndio ukweli!
 
Ninawasalimia nyote, ninakiri pamoja na kwamba bwana yule aliyetangulia mbele za haki tangia Marchi 17, 2021 kama tulivyotangaziwa, kuna mazuri kadhaa ambayo kwayo tutakuwa tumeya mis.

Mojawapo ni kukatikakatika kwa umeme kwa muda mrefu haikuwepo, kasi ya kuwekewa umeme kwenye nyumba zetu, mfumko na kasi ya kupanda bei za bidhaa kama vile: mafuta ya aina zote, vifaa vyote vya ujenzi, tozo za miamala za simu, kupanda kwa bei ya mbolea kwa 100%, gesi ya kupikia majumbani bei juu, kurejea kwa kasi matukio ya ujambazi, nidhamu ya kazi imepungua! Kwa ujumla ni mambo mengi mno sitoweza kuorodhesha yote.

By the way, the late nilikuwa simkubali kwa vitendo vyake vya kikatili kwa waliokuwa wanaepingana naye kama akina TL,Saa nane, na wengi wengineo wengi tu!
Magufuli ameacha nini? Ameacha wizi wa Tsh 2.4 Trilion, chuki dhidi ya upinzani, ubaguzi wa maendeleo kwa kupendelea Chato, umalaya kwa akina Jokate na Kairuki, matusi kwenye majukwaa, kuropoka, ubishi wa Corona mpaka imemuua, uuaji wa akina Ben Saanane na Azory Gwanda, utekaji wa akina MoDewji, maonezi kwa akina Eric Kabendera na Tito Magoti na dharau kwa wanawake tu.

Atakumbukwa kwa UDIKTETA, kukandamiza Demokrasia, Wizi wa uchaguzi Serikali za Mitaa 2019, wizi wa kura uchaguzi Mkuu 2020, kuvunja Katiba, kudhibiti Bunge na kuitishia Mahakama. Vilevile kuminya uhuru wa kujieleza na kuitishia vyombo vya habari.

Nani atanikamata leo nikisema Magufuli alikuwa muuaji? Hakuna kwa vile Rais SSH anakubali kukosolewa kwa misingi ya Sheria.
 
Back
Top Bottom