nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 861
Yaani jina lako tu tayari ni chuki kwa Magufuli,huwezi Afrika kupata maendeleo bila style uongozi wa hayati Magufuli i.e. kagameMkuu unajua ni kwanini uzi wako umepigwa doro!?
Huwezi kumkumbuka kwani ulitaka atuongoze kwa style ya baba yako ya kudekezana,kama wazungu wenyewe wamemkubali sembuse wewe punda tu?Huyu mtu hata iweje sitokaa nimkumbuke. Sijui ni kwann?
Mjinga kama wewe ulishaaminishwa hivyo hadi sasa wanaofariki ni Magufuli anawauwa si ndiyoNa kweli. Maana kumkumbuka muuwaji ni ngumu sana
Hamna shukrani mlizoea maisha ya kubembelezwa kishogashoga hata hao marais wengine maneno yenu yalikuwa ni hayahaya hata mbowe ni magufuli ndito kamuweka ndani.Usitukumbushe machungu tuliyopitia Magufuli amewatesa watanzania kuliko marais wote waliowahi kutawala hii nchi.
Kwahiyo sasa hivi mateso yamekwisha?unafiki tu ndiyo mliobarikiwa watzNaona wanalazimisha tukumbuke mateso tuliyopitia watanzania.
Na husitahili kumkumbuka kwani tabia zako za kishenzi za ushoga na undumila kuwili alikudhibiti kabisaaaaSema unamkumbuka wewe mm simkumbuki wala sitamkumbuka kamwe
Na mke mwenzioWewe na nani umemkumbuka?
Sasa hivi huibiwi eti wanakuletea hela hadi mlangoni kwako ,umeolewa kimawazo aise na waliokuoaRais wa wanyonge anaiba pesa za wanyonge! Fiscal year 2016/2017 alikwapua hazina 1.5 trillions, fiscal year 2017/2018 akakwapua tena hazina 1.2 trillions ripoti za CAGs Assad na Kichere zilaanika hayo. Wakulima wa Korosho kawadhulumu bilions za pesa zao halali. Wafanyakazi miaka 6 hakuna nyongeza ya mishahara lakini pesa ya kununua ndege ipo!!! Hebu ondoa ujinga wako!!! [emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Asprin wala usiseme lolote nyoe ndiyo wafia fitina huna msimamo wa maisha yako wala hujipendi sembuse umpende magufuli?Mi nikimkumbuka nakuwa kama navyomkumbuka ibilisi...
Sasa hivi huibiwi eti wanakuletea hela hadi mlangoni kwako ,umeolewa kimawazo aise na waliokuoa
Huna ushahidi bali chuki tu. Jitahidi kuwa straight katika arguments zako; kunakohitaji credit uwe unatoa na kwenye makosa uwe unakosaa kuliko kuwa biased against Magufuli moyoni mwako siku zote. Hiyo 1.5 trilioni iliyokwapuliwa uliiona wapi kama siyo kuwa ulimeza maneno ya Zitto bila kuwa na ushahidi wowote ? Records zote za CAG zipo mtandaoni, niliwahi kukuambia unionyeshe ripoti inayoonyesha wizi huo hukujibu ila bado umeung'ang'ania tu.Rais wa wanyonge anaiba pesa za wanyonge! Fiscal year 2016/2017 alikwapua hazina 1.5 trillions, fiscal year 2017/2018 akakwapua tena hazina 1.2 trillions ripoti za CAGs Assad na Kichere zilaanika hayo. Wakulima wa Korosho kawadhulumu bilions za pesa zao halali. Wafanyakazi miaka 6 hakuna nyongeza ya mishahara lakini pesa ya kununua ndege ipo!!! Hebu ondoa ujinga wako!!! 😩😩😩😩
Ewe binti wa Joseph acha kutembea na video za connection kwenye simu yako maana ufalme wa Mungu unakaribia😁😁😁Nasubiri Behaviourist aje na ile picha yake ya kutisha[emoji89][emoji89]
Sawa kamuombe msamahaNi wakati wa kumuomba msamaha Magufuli.
Mwamba aliituliza TZ akafanya maendeleo. Si mbaya mama anaendelea kukiwasha... Mungu si AthumaniNadhani ni muda wa familia yake kutuomba msamaha kwa niaba yake...
Jamaa lilituona watanzania hamnazo... likawa linajiamulia litakavyo...
Sema haka kadudu ka 19 kakatuonea huruma, kakamtendea miujiza...
Sasa tunapumua
PoaaLinda mambo?
Nimekoma..inabidi nileft baadhi ya magroup bila hivyo conection haipukiki[emoji849][emoji126]Ewe binti wa Joseph acha kutembea na video za connection kwenye simu yako maana ufalme wa Mungu unakaribia[emoji16][emoji16][emoji16]
Usijali kuhusu Hilo mkuu,Mkuu unajua ni kwanini uzi wako umepigwa doro!?
Sio lazima!Umesha enda chattle kuzulu?
Kwann usiseme amekutesa wewe, usituzungumzie(watu)Usitukumbushe machungu tuliyopitia Magufuli amewatesa watanzania kuliko marais wote waliowahi kutawala hii nchi.
Nendeni kaburi kwake mkamuombe msamahaNi wakati wa kumuomba msamaha Magufuli.