Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Hizo hela alitoa mfukoni mwake? Kwanza vilio vya waliobomolewa nyumba zao hapo bado vinamtesa huko kuzimu alipoUkifika Kibaha Mailimoja kuelekea Mbezi lazima utamkumbuka Magufuli kwa zile njia sita
Labda Wazungu fake wa Chato na Kolomije kwa wakina Bashite na GwajiunoHuwezi kumkumbuka kwani ulitaka atuongoze kwa style ya baba yako ya kudekezana,kama wazungu wenyewe wamemkubali sembuse wewe punda tu?
Punguza povu,mfuate huko kuzimu sasaHamna shukrani mlizoea maisha ya kubembelezwa kishogashoga hata hao marais wengine maneno yenu yalikuwa ni hayahaya hata mbowe ni magufuli ndito kamuweka ndani.
Wizara ngapi alizinyoosha kabla ya kuwa rais na mkamkubali kwa style hiyohiyo.
Kuishi na mtanzania ni bora ya kuishi na kobra ndani ni wanafiki sana hawavumiliki utafikiri jibu la utosini
Mungu ni mwema sanaHakika Mwendazake alijua walalahoi wanahitaji Nini Ni Kama vile Mzee Makamba alivyo jua wana KGM,TA na DSM walihitaji nini katika wakati wake.
Shetani huwa hakumbukwiHuwezi kumkumbuka kwani ulitaka atuongoze kwa style ya baba yako ya kudekezana,kama wazungu wenyewe wamemkubali sembuse wewe punda tu?
Tangu atupwe jehanamu damu za watu hazimwagiki tenaMjinga kama wewe ulishaaminishwa hivyo hadi sasa wanaofariki ni Magufuli anawauwa si ndiyo
Sijui umeandika nn hapa. Ukichaa huwa haupigi hodiKiboko ya wapenda kubadilisha magoli. Kile kile wanacho kiomba leo ikikifsnya hawakitaki, hawajui wanataka nini .
Kumbe mwenye kuwajulia aksingia uwanjani, piga hao, chinja hao, hakuna kupewa chai wala juisi. Woote wakaufyata. Mbowe akawa wakubembeleza na kutia huruma. Afya ya akili ya wapinzani bado mpaka leo haija rudi sawa baada ya kipigo cha October, 2020.
Walimuogopa Magufuli kuliko njaa.
Ujanja usio na tija katika kuutendea haki msaada wa Wajerumani tumeona bidii, Hongera Mbowe kwa ku retire loan/ advance/grant/imprest/ polical money. . . The Friedrich-Ebert-Stiftung (FES)
Wache zikutoe kamasi, unashiba pekee yako.
Friedrich-Ebert-Stiftung
Tanzania Office
P.O.Box 4472
Mwai Kibaki Road, Plot 397
Dar es Salaam, Tanzaniau
+255 (0) 22 2668575
+255 (0) 22 2668669
info.tanzania(at)fes.de
Kaleta maendeleo gani Sasa? Nchi imepoteza mvuto duniani, ndiyo maana mama anahaingaika kui-rebrandYaani jina lako tu tayari ni chuki kwa Magufuli,huwezi Afrika kupata maendeleo bila style uongozi wa hayati Magufuli i.e. kagame
Ila kwa chuki ulizonazo ni radhi utapike hivyo
Hamfikii jiwe, ndiyo maana kafa kibudu
Kaacha legacy ya kuuwa, kuteka, kupora na kushusha uchumi wa nchi.REGACY , REGACY , REGACY ya kwiyoo nyambaf , limeshasahaulika hilo jibwa , hakuna mtu timamu atalikumbuka hilo.
Hakika Mwendazake alijua walalahoi wanahitaji Nini Ni Kama vile Mzee Makamba alivyo jua wana KGM,TA na DSM walihitaji nini katika wakati wake.
Mkuu sio wewe tu ,tupo wengi Sana,Huyu mtu hata iweje sitokaa nimkumbuke. Sijui ni kwann?
Ni wapi nimeonyesha hio chuki unayoisema!?Yaani jina lako tu tayari ni chuki kwa Magufuli,huwezi Afrika kupata maendeleo bila style uongozi wa hayati Magufuli i.e. kagame
Ila kwa chuki ulizonazo ni radhi utapike hivyo
Sidhani kama mpaka sasa unaamini uzi ulipofika mpaka sasa.Mkuu unajua ni kwanini uzi wako umepigwa doro!?
Si baada ya mimi kuukomenti?Sidhani kama mpaka sasa unaamini uzi ulipofika mpaka sasa.
Mty mwenye akili zake na anayemiliki mke anayejitambua hawezi kuongea ungese kama wako pimbi weweKwa kuwa babaako na wewe mmeolewa usidhani kila mtu anafanya huo upuuzi.