Kiboko ya wapenda kubadilisha magoli. Kile kile wanacho kiomba leo ikikifsnya hawakitaki, hawajui wanataka nini .
Kumbe mwenye kuwajulia aksingia uwanjani, piga hao, chinja hao, hakuna kupewa chai wala juisi. Woote wakaufyata. Mbowe akawa wakubembeleza na kutia huruma. Afya ya akili ya wapinzani bado mpaka leo haija rudi sawa baada ya kipigo cha October, 2020.
Walimuogopa Magufuli kuliko njaa.
Ujanja usio na tija katika kuutendea haki msaada wa Wajerumani tumeona bidii, Hongera Mbowe kwa ku retire loan/ advance/grant/imprest/ polical money. . . The Friedrich-Ebert-Stiftung (FES)
Wache zikutoe kamasi, unashiba pekee yako.
Friedrich-Ebert-Stiftung
Tanzania Office
P.O.Box 4472
Mwai Kibaki Road, Plot 397
Dar es Salaam, Tanzaniau
+255 (0) 22 2668575
+255 (0) 22 2668669
info.tanzania(at)fes.de