Njaa mbaya sanaNi wazee wa magomeni mapipa, mikumi, mwembechai, makuti, kagera, mburahati, Agentina hadi manzese wanasema ni kama vile hayati Magufuli aliwaonjesha asali kwani sasa maji hayatoki tena.
Wazee hao wamemuomba RC Makalla kulishughulikia tatizo la maji na kulimaliza kama alivyolimaliza tatizo la wamachinga na sasa jiji limekuwa safi kila mtaa.
Maendeleo hayana vyama!
Sasa hivi ndiyo tutaiona sura halisi ya hao waramba miguuPosho imekata? safi sn
Akilipwa atarudi kule kuleSasa hivi ndiyo tutaiona sura halisi ya hao waramba miguu
Iogope sana njaaaAkilipwa atarudi kule kule
Ni wazee wa magomeni mapipa, mikumi, mwembechai, makuti, kagera, mburahati, Agentina hadi manzese wanasema ni kama vile hayati Magufuli aliwaonjesha asali kwani sasa maji hayatoki tena.
Wazee hao wamemuomba RC Makalla kulishughulikia tatizo la maji na kulimaliza kama alivyolimaliza tatizo la wamachinga na sasa jiji limekuwa safi kila mtaa.
Maendeleo hayana vyama!
Namjua sn huyo mamaIogope sana njaaa
Ufipa bila maji mtaishije?Sasa hivi ndiyo tutaiona sura halisi ya hao waramba miguu
Yule shahidi wa kibanda cha mbege!Namjua sn huyo mama
Mmawia atanuna!
Baada ya miaka 60 mnalilia mvua kuliokoa taifa ?Ufipa bila maji mtaishije?
Awesu wafanyie wepesi wakazi wa Kinondoni!
Chadema mlikula hela za visima vya bilionea Sabodo!Baada ya miaka 60 mnalilia mvua kuliokoa taifa ?
StupidChadema mlikula hela za visima vya bilionea Sabodo!