Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Yaani hazieleweki Kama ni pembe au kucha.Kaka pembe pembe bado zinaota, zilishafika ukomo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hazieleweki Kama ni pembe au kucha.Kaka pembe pembe bado zinaota, zilishafika ukomo?
Ben saanane Azory Gwanda Akwilina na familia zao
Mi niko kinyume chako japo sikumpa kura zangu. Tukiondoa nyerere ni only ngosha tu ndo kaongoza tanzaniaNikiwa kama mtu huru ninayo haki ya kikatiba ya kutoa maoni yangu.
Uongozi wa hayati Magufuli haukuwa mzuri na ulikua na ukakasi mwingi.
Nampongeza mama Samia kwa kusimika uongozi mzuri.
Mama anaupiga mwingiNikiwa kama mtu huru ninayo haki ya kikatiba ya kutoa maoni yangu.
Uongozi wa hayati Magufuli haukuwa mzuri na ulikua na ukakasi mwingi.
Nampongeza mama Samia kwa kusimika uongozi mzuri.
Uongozi lazima ujali utu na kuheshimianaMi niko kinyume chako japo sikumpa kura zangu. Tukiondoa nyerere ni only ngosha tu ndo kaongoza tanzania
Ameshalala huyo..asiendelee kukusumbua.Nikiwa kama mtu huru ninayo haki ya kikatiba ya kutoa maoni yangu.
Uongozi wa hayati Magufuli haukuwa mzuri na ulikua na ukakasi mwingi.
Nampongeza mama Samia kwa kusimika uongozi mzuri.
Ni viongozi wachache sana ambao wako / walikuwa kwa maslahi ya nchi, Nyerere, sokoine na magafuliNikiwa kama mtu huru ninayo haki ya kikatiba ya kutoa maoni yangu.
Uongozi wa hayati Magufuli haukuwa mzuri na ulikua na ukakasi mwingi.
Nampongeza mama Samia kwa kusimika uongozi mzuri.
Wananchi wa kanda ya ziwaMagufuli alijitahidi sana kuongoza nchi kwa maslahi ya wananchi
Tupo pamoja mkuu.Mi kero zangu kwake mbili tu baaaasi
1. Vyeo, mishahara, ajira
2. Democracy
Democracy haina ukomo! Democrasia ya Marekani hafanani ata kidogo na ya UingerezaMi kero zangu kwake mbili tu baaaasi
1. Vyeo, mishahara, ajira
2. Democracy
Nenda facebook utawaona watanzania mamilioni waliovutiwa na uongozi wake. Wewe ni mmoja tu huna impact.Nikiwa kama mtu huru ninayo haki ya kikatiba ya kutoa maoni yangu.
Uongozi wa hayati Magufuli haukuwa mzuri na ulikua na ukakasi mwingi.
Nampongeza mama Samia kwa kusimika uongozi mzuri.