Sikumbuki ulikua mwezi wa ngap ila korona mjini Wuhan ilikua inaupiga mwingi kila siku unasikia watu 300 au 400 wamefarik ilikua kawaida tu.
Baada ya kupita siku nyingi mgonjwa wa kwanza akaingia bongo mjini arusha kwa sisi ambao tunategemea tutoke ili tule tukaingiwa na unyonge ukizingatia ugonjwa ule unaendana na lokdaun.
Mungu na wanadamu Mzee Pombe aka bulldoza akatuhakikishia kuwa hakutakuwa na kujifungia ndan hata iweje na tuendelee na harakat km kawa.
Kuna kipind kulikua ambulans mpya zilikua zinatutesa sana maana halipit lisaa bila kuisikia inapita lkn nazo akawapiga stop waache michezo.
Ingawaje kuna waliofarik na wengine waliumwa na kupona lkn kwa msimamo ule jamaa alijitendea haki kwa kuhakikisha kuwa hatuf tukiwa tumejifungia ndani.
Yeye nidhamu yake aliisimamia nani?, mbona hakuwa na nidhamu ya kuheshimu katiba na sheria za manunuzi za nchi?Kusimamia nidhamu serikalini na kwenye corona alikuwa vizuri Ila mengine ilikuwa ugoro mtupu
Kama yepi mkuuKusimamia nidhamu serikalini na kwenye corona alikuwa vizuri Ila mengine ilikuwa ugoro mtupu
😁😁😁😁Kati ya jambo kubwa la uthubutu na akafanikiwa ni kuhamisha serikali na wizara zake zoote kutoka DAR kwenda DODOMA. Kulikuwa na upinzani mkubwa sana kwa watangulizi wake kujaribu na kushindwa. Jambo la pili ni kwa taasisi zenye nguvu zilizomgomea kumpa hela (kwa vile hajipendekezi kwao) kutangaza kuwa TANZANIA si nchi masikini. Big up JPM
Nchi ngumu Sana hii.yajayo yanafurahisha.Magufuli ndiye Rais fisadi Papa bora wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi.
Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.
Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.
View attachment 2053299View attachment 2053300View attachment 2053302View attachment 2053303
Magufuli ndiye Rais fisadi Papa bora wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi.
Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.
Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.
View attachment 2053299View attachment 2053300View attachment 2053302View attachment 2053303
Wapi nimeandika kuwa Magufuli ameiba pesa?Unajua kusoma?Unaelewa hata maana ya ufisadi ni nini?Mtaishia tu kusemankuwa alifisidi 1.5Trio, lkn hamtaweza kuonesha alikozificha. Maana ufisadi wake ulikuwa ulishirikisha wananchi. Haukuwa wa ubinafsi kama nyie mnaoiba na kuficha ng'ambo. Yeye aliiba na kutujengea miundo mbinu kila mahali.
Kwa kifupi mtaendelea kusema aliiba, lkn hamtaweza kuonesha wapi alikoficha hizo pesa. That's a funny side of your stupidity.